Dada yangu anapitia mateso makali sana sababu ya kijana wake kushika Dini hadi imemfanya amekuwa mjinga

Wapi umeona mtoto wa kiislam kamchinja mama yake

Yaani mtoto wa kiislam akiamua kusoma na kuifata dini yake inakuwa tatizo ila mtoto wa kikiristo akisoma na kuwa mchungaji anaonekana ana akili na mjanja!. Mbona hamuwatukani mapadre na wachungaji
Kwa sababu hawawi useless na mizigo kwenye familia zao watokazo.
Unakuta jitu linajifanya kusoma dini halitaki hata kufanya kazi yeyote.
Atakula na kuishi vipi ??
 
Sasa Unanyoa mavyuzii ya nini wakati unapenda kufuga ndevu??
Hiyo elimu yako wafundishe wanao kwangu haina msaada ni useless kabisa.
 
" Too much expectations" ndio kitu kunachowamaliza watu wengi.

Ila Kuna mitoto mingine Ni ya hovyo Sana jamani.Yaani litoto halikumbuki jinsi mama Yake alivyokuwa analihangaikia afu bado linazingua tu.Pumbavu Sana yule kijana.
 
Ulimaliza Mwaka gani? Sasa mkuu we mkristo utoke zako Maendeleo ukanye Judi kweli badala urnde mapinduz au pondi 😂😂
 
Namshauri huyo dr kwanza apewe muo gozo kumdharau mama hata hio pepo anayoisikia ataisikia bomban.mbona dr zakir naik anapiga sut yake fresh tu.kwanin yeye anashindwa. ?
 
Wapi umeona mtoto wa kiislam kamchinja mama yake

Yaani mtoto wa kiislam akiamua kusoma na kuifata dini yake inakuwa tatizo ila mtoto wa kikiristo akisoma na kuwa mchungaji anaonekana ana akili na mjanja!. Mbona hamuwatukani mapadre na wachungaji
Wewe unaona huyo dogo yupo sawa au udini unakuchanganya??
Mapadri na wachungaji wanaliza mama zao, wanawapa presha mama zao kwa matendo yao.?
 

Wasilam watulivu wakiwa katika population ambapo ni wachache,ila wakiwa wengi huwa ni washenzi sana,ona ya zenji kuvunja na kuchoma makanisa,umesahau uvunjanji wa mabucha ya nguruwe magomeni,umesahau mapambano ya mbeya kutaka haki ya kuchinja,achilia mbali genocide iliyofanywa na muslmubrotherhood wa misri.
 

Mtume ni obselete,we dont live,kwenye zama za giza,maisha yamebadilika hata huyo mtune angezaliwa wenzi hizi angekua ana chonga ndevu na kuweka bleach.
 



Kupata huwa ni majaliwa.
Tuzae tu sawa lakini kupata huwa ni majaliwa.

Na Ndiyo maana dada yako yuko disappointed much sababu alikuwa na matarajio makubwa toka Kwa mtoto wake.

Kuepuka hilo alipaswa kutokutarajia chochote ilimradi iwe salama.
 
Isipokuwa huenda pia kuna Siri anayoijua yenye kumpa mashaka na ugonjwa zaidi.

Hata yule jamaa aloua askari pale salenda bridge aliwahi kwenda kusomea dini Misri nazani.

Alichokuja kufanya ikampelekea kuangamia akamwacha mamaye kwa ugonjwa wa depression na hatimae akafa mama wa watu.

Mpelekeni dada yenu Kwa sakatriki Doctor haraka na kwenye maombi mumnusuru.
 
Huyo dada yako ndio mwenye matatizo, anamfuatia mnoo mtoto wake ambaye kwa sasa ni mtu mzima.
Kijana ameamua kushika dini yake hiyo imekuwa nongwa, vipi angekuwa teja, mlevi au shoga?



Tatizo wengine wanafundishwa mambo ya hila Na Ugaidi.

Jerea swala la Rashid Mberesero mwanafunzi wa Bihawana.

Alikamatwa kwenye ugaidi Kenya,

Akishia kufa gerezani.

Mzazi mpaka anatilia shaka nyendo za mwanae huenda kuna kitu siyo kizuri.
 
Kwani hapo kosaa lipi? Kikubwa asidhuru wengine Kama ni kazi jobless mmoja ni huweni kwake atakuwa substituted chap....the rest waache watu na maisha yao na jilazimishe kuwawazia wenzio mazurii



Mchuma janga hula na wakwao.

Lazima ndugu zake na mzazi apate shaka kwa kujiuliza mwisho wake utakuwa upi?!
 
Ulimaliza Mwaka gani? Sasa mkuu we mkristo utoke zako Maendeleo ukanye Judi kweli badala urnde mapinduz au pondi [emoji23][emoji23]
Hahaha kaka 2017 hiyoo mzee beto za pugu si unazijua hahahaha ukitoka kule kila mtu anajua umetoka wapi plus maji changamoto....


Pale pugu sijawah kunya vyoo vya shule aisee nilishindwa.
 
Huyo mtoto wa kike amesomea sheria ameshindwa kumpambania baba yake atoke korokoron?
 
Aliweka tumaini lake kwa mwanae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…