Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Kwa sababu hawawi useless na mizigo kwenye familia zao watokazo.Wapi umeona mtoto wa kiislam kamchinja mama yake
Yaani mtoto wa kiislam akiamua kusoma na kuifata dini yake inakuwa tatizo ila mtoto wa kikiristo akisoma na kuwa mchungaji anaonekana ana akili na mjanja!. Mbona hamuwatukani mapadre na wachungaji
Sasa Unanyoa mavyuzii ya nini wakati unapenda kufuga ndevu??Nani
Nani kakwambia kuwa ukifuga ndevu hutakiwi kunyoa mavuzi?
Kwa taarifa yako Mtume kafundisha wanaume wa kiislam wafuge ndevu na wanyoe masharubu, wanyoe nywele za makwapani, wanyoe mavuzi na wakate kucha pia kuoga baada ya kufanya mapenzi ili kuondoa janaba.
Uislam ni dini ya usafi kiasi kwamba hata ukienda kukojoa unatakiwa utawadhe kwa maji kuondoa mkojo na pia uhakikishe cheche na mikojo hazikurudii kwenye nguo.
Soma uelimike sio kuongea vitu usivyo na elimu navyo
vip kma angekuwa choko?Amuue mapema, vinginevyo atauawa yeye
Ulimaliza Mwaka gani? Sasa mkuu we mkristo utoke zako Maendeleo ukanye Judi kweli badala urnde mapinduz au pondi 😂😂Hawa jamaa wanajiitaga "Jidi boys" advance ndio niliona kumbe waislamu ni washenzi wao kazi kujitenga kuanzia kusoma mpka michezo na ikitokea kuna muislamu anaandama na mkristo hafu darasani ni kipanga atapigwa vita mpka basi kwmba asome na waislamu wenzie pekee
Kipindi cha mock form six kulikuwa na possible Hahaha huwezi amini hawa watu walikuwa wanaamshana wenywe kwa wenywe usiku nilikuwa deka la Chini jamaa yangu kipanga akaamshwa deka la juu akawasovie maswali kimya kimya.
Shule za A-level zinaharibu sana vijana.....Pugu sec maji shida so jidi kule wana maji ukienda kunya choo cha jidi hafu mkristo utaisoma namba watakuandama mpaka ukome......
Auliwe ili asisambaze kwa wenginevip kma angekuwa choko?
Wewe unaona huyo dogo yupo sawa au udini unakuchanganya??Wapi umeona mtoto wa kiislam kamchinja mama yake
Yaani mtoto wa kiislam akiamua kusoma na kuifata dini yake inakuwa tatizo ila mtoto wa kikiristo akisoma na kuwa mchungaji anaonekana ana akili na mjanja!. Mbona hamuwatukani mapadre na wachungaji
Hakuna Shida kwenye Mafundisho Ya Dini Ya Kiislamu,Ndo maana Hata Leo Watu Wastaarabu Tunaoishi Nao Kwenye Jamii Wengi ni Waislamu.Ukatae Usikatae Na Wewe Nahisi Unajionea.Yupo Mchungaji Mmoja Video Yake Ilitrend Akisema Kuwa Katika Mashamba Yake Kaajiri Vijana Wa Kiislamu Tu Kwa sababu Ni watulivu,Waaminifu.
NB:Mafundisho Katika Dini ya Kiislamu Ndo Yalimfanya Mtume Muhammad(S.A.W) Kuorodheshwa Kwenye Jarida La Watu Bora Zaidi duniani and Most Influential.
View attachment 2632737
Yaani kijana kasoma mpaka kafikia kuwa Mganga mfawidhi halafu eti mnamuita mjinga kisa kaamua kushikamana na dini yake kama Mtume alivyoifundisha. Sijui mna akili sawasawa enyi watu?!
Yaani kufuga ndevu,kuvaa kofia na kutokuburuza nguo( isbaal) ndio kuna mfanya mumuone chizi? Mngemuona Mtume na maswahaba zake si mngesema ni wendawazimu tu?!
ISHU NI MAISHA YA SISTER AMEPITIA LIFE GUMU SANA KUAZIA KWA WANAUME ALIOZAA NAO WOTE WALIKIMBIA MAJUKUMU AKAWA ANAELEA KIVYAKE NA UKIANGALIA PESA KARIBIA ZOTE ZA MSHAHARA WAKE AMETESEKA KULEA VIJANA WAKE HADI LEO AMESHINDWA HATA KUJENGA MWISHO WA SIKU HAO ALIOTEGEMEA KESHO WAMSAIDIE NDIO WAMEKENGEUKA
Huyo dada yako ndio mwenye matatizo, anamfuatia mnoo mtoto wake ambaye kwa sasa ni mtu mzima.
Kijana ameamua kushika dini yake hiyo imekuwa nongwa, vipi angekuwa teja, mlevi au shoga?
Kwani hapo kosaa lipi? Kikubwa asidhuru wengine Kama ni kazi jobless mmoja ni huweni kwake atakuwa substituted chap....the rest waache watu na maisha yao na jilazimishe kuwawazia wenzio mazurii
Malezi ya single mother na athari zake!!!!
Hahaha kaka 2017 hiyoo mzee beto za pugu si unazijua hahahaha ukitoka kule kila mtu anajua umetoka wapi plus maji changamoto....Ulimaliza Mwaka gani? Sasa mkuu we mkristo utoke zako Maendeleo ukanye Judi kweli badala urnde mapinduz au pondi [emoji23][emoji23]
Huyo mtoto wa kike amesomea sheria ameshindwa kumpambania baba yake atoke korokoron?Halafu huyo dada yake ashukuru mungu Bado ana kazi.mimi Kuna familia jirani walikuwa na watoto wawili wa kike na kiume.Baba alikuwa mfanyabiashara na mama mwalimu.mtoto wa kiume alisomea mambo ya uchumi baadae akaishia kwenye ushoga.wa kike alisomea Sheria lakini Hana kazi saivi ni tena.baba alifungwa Kwa kosa la uhujumu uchumi.kwa hivyo watu Wana shida kweli
Aliweka tumaini lake kwa mwanaeNdio madhara ya kusomesha mtoto ukitegemea akiajiriwa upate sehemu ya mshahara wake, mimi nilidhani mvuta banghe mwizi mlevi mzizi kumbe kachagua njia nzuri sana ya mitume na manabii, ifahamike kusoma sio lazima uajiriwe huyo mama asimkatie tamaa amuulize kazi anayoiweza amuwezeshe tu