goldie ink
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 5,634
- 9,149
Feni feni feni feni feni at work
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna dada mmoja alikuwa anasimulia anasema kuna style ya mapenzi ambayo ni balaa..hii inawezekana kwa wale wadada ambao hawana uzito mkubwa sana.
anasema namnukuu " mwanamke unatakiwa usiwe na uzito wa ng'ombe.uwe na uzito wako wa wastani wa mbuzi au kondoo. unapokuwa na mtu mpenzi wako chumbani kwake au kwenu basi kuwe na feni ile ya juu. then bint unaweza shika mapanga mawili ya ile feni au kama ipo juu sana basi unafunga kamba ambayo unakuja ishika huku chini. wakati huo mpenzi wako anakuwa amelala chali. yupo standby.
basi mpenzi wako anaenda kuwasha feni kwa speed ya kawaida tu hasa namba moja na mbili. ile feni inapozunguka basi nawe mwanamke unazunguka then jamaa anafanya timing anaingiza anasema hapo feni inakuwa imesha gain momentum..so unazunguka huku machine ikiwa ndani kwa speed ya ile pangaboi"
anasema hapo mwanaume anaweza maliza double double hata mara 5 maana ni balaa...joto analopata na wewe mwanamke unalopata mnaweza jikuta siku hiyo hamtoki ndani. nilishangaa sana ubunifu huu wa waafrika hasa dada zetu kipindi hiki ambacho inasemekana kuna ukata.basi nao hawajabaki nyuma. najiuliza hivi hii mtu unaweza jaribu ukabaki salama?fikiria ile feni inavyozunguka halaf ndo iwe imefungashiwa kwenye mashine yako mwanaume....
sasa joto litatoka wapi wakati feni inakipuliza?Mbona chungu mkuu hainyweki hii
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Yaan cjawah Cheka hv mweehStyle za bombardier hizi
Mimi nataka kujua tuu ati huyo mwanamke alikuwa nae kaning'inia kama feni na kuweka miguu juu usawa wa kichwa au mabega ili aweze kuzunguka au alikaa mkao wa kawaida tuu?
Kwa mfano ww unahisi unaweza kupata ulemavu wa wap labda?Kweli kabisa mkuu na hapo kwa kuvuta picha tu ni mchezo mmoja wa hatari sana.
Bora kukosa hizo raha mkuu kuliko kupata ulemavu wa kujitakia..
Hii tumepewa chai best, kwanza feni inakausha ma wora sasa hapo huko chini si patawaka!!!sasa joto litatoka wapi wakati feni inakipuliza?
Vitu vingine sijui mnataka mgundue nini
Sasa hapo huyo mwanamke anazungukaje kwa spidi ya feni?
i[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji13] [emoji13]
Kweli kabisa mkuu na hapo kwa kuvuta picha tu ni mchezo mmoja wa hatari sana.
Bora kukosa hizo raha mkuu kuliko kupata ulemavu wa kujitakia..
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
huyuu jamaa ni dr ngono.
uyoo mwanamke atazungukaje na feni kizungu zungu siatazimia.
uwoo utamu bora nisiupate hukawii kuvunjika dushee.
Ha ha ha nimecheka sanaaa dunian kuna mambo
Style za bombardier hizi
Ha ha ha nimecheka sanaaa dunian kuna mambo
Do not try this at home !!
Sasa mkuu feni si itan'gooka.!!?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ..nimebaki nacheka tuu
Zipo sehemu nyingi mkuu kwa sababu naweza choka kushika nikaachia basi hapo naweza hata vunjika kiuno.Kwa mfano ww unahisi unaweza kupata ulemavu wa wap labda?