Dada zangu kwanini mnawapenda wanaume wahuni?

Kuna muhuni ya watu wa mbagala na pemba huko ni hovyo kabisa kwa maana zake. Yaani wana tabia mbovuu balaaa. Mf. Uwe na harusi yako uswazi huko wanavamia. Wengine mpk vinyesi wanamwaga. Wana vurugu balaq. Unakutaga mhuni akitaka oa anafunga ndoa kimya kimya. Wahuni wenzake wanashtuka keshamaliza hawawezi mfanyia tena fujo.


Anyways, i love bad boys... wanaunyongorota moyo wangu weer[emoji23] sipendi kijana mpolee. I get bored. Sema sasa mwanaume kicheche ndo hunishinda

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Hahahahahah bad boys wana taste yao ya pekee na wengi ni humorous n funny to be around! Kikubwa wana misimamo flani ambayo wanawake wengi ndio hupenda kwa mwanaume 😅 yani ile amri sio ombi ndio mwendo wao. Na moto wanapeleka kweli yani!
 
🤣🤣🤣
Kweli tupu....
 
Mimi ni kijana mpole Ila Niko real sn..ni muhuni Fulani hivi ambaye sijawa certified bado kwenye chama la wahuni

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Mnachoshindwa kuelewa wanaume wenzangu mwanamke hupenda mwanaume anajiamini
Na hao watu wana sifa hizo

Hiyi imewahi nitokea mimi na usmat wangu nikajua manzi atakaa we bwana kilichonikuta nililiwa pesa mpaka akili ikakaa sawa

Akaja muhun mmoja hivi kuokoa jahazi wacha amkaze bure bure na akawa anapendwa kichizi

Aswee mbona nilibadilika saiv sisemi dada samahani nina shida
saivi ni mwendo wa ubabe we binti njoo hapa hebu tia namba yako hapa fanya Fasta kuna sehemu nawah maelezo baadae. Kifupi haka ka staili kamenifanya niwale kichizi

Ushauri wangu ni mwanaume jiamini kama igeni kwa wenzetu kina sokwe dume hustaili kulia lia kama kitoto cha chura haya mambo tuwaachia wanaume wa dar zile chips kwenye yale mayai kuna dawa inaitwa legeza kwa hy ukila lazima ulegeze View attachment 2021400
 
Hahahahahah bad boys wana taste yao ya pekee na wengi ni humorous n funny to be around! Kikubwa wana misimamo flani ambayo wanawake wengi ndio hupenda kwa mwanaume [emoji28] yani ile amri sio ombi ndio mwendo wao. Na moto wanapeleka kweli yani!
Sasa arifu mimi namuweza wapi mtoto wa mtu amepooza? I love a loving and commanding man. Yaan akiongea moyo unapiga najiambia yeeesss, ameongea mwanaume mpk chupi inalowana[emoji23][emoji23] paroko hapana. Hanifai. Huyo awe wa misa tu na jumuiya... napenda zile cuddles za kigumu with passion. Sasa mwanaume kama hana pigo za kihuni namfanyaje? Nataka hata likija kuwa libaba lakini ule uhuni uwepo[emoji23][emoji23]

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…