Mnachoshindwa kuelewa wanaume wenzangu mwanamke hupenda mwanaume anajiamini
Na hao watu wana sifa hizo
Hiyi imewahi nitokea mimi na usmat wangu nikajua manzi atakaa we bwana kilichonikuta nililiwa pesa mpaka akili ikakaa sawa
Akaja muhun mmoja hivi kuokoa jahazi wacha amkaze bure bure na akawa anapendwa kichizi
Aswee mbona nilibadilika saiv sisemi dada samahani nina shida
saivi ni mwendo wa ubabe we binti njoo hapa hebu tia namba yako hapa fanya Fasta kuna sehemu nawah maelezo baadae. Kifupi haka ka staili kamenifanya niwale kichizi
Ushauri wangu ni mwanaume jiamini igeni kwa wenzetu kina sokwe.[emoji205][emoji205] dume hustaili kulia lia kama kitoto cha chura haya mambo tuwaachia wanaume wa dar zile chips kwenye yale mayai kuna dawa inaitwa legeza kwa hy ukila lazima ulegeze
View attachment 2021400