Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umemaliza uzi ufungweKwa kiufupi jibu kwa mleta mada ni wanawake kwenye mambo ya attraction wako opposite na sisi
Sisi tunapenda mwanaume mwenye aibu kidogo wao hapana
Sisi tunapenda mwanamke laini wao hawapend mwanaume wa hvyo
Sisi tunapenda mwanamke ambae hajapigwa sana wao pia ni opposite ya hyo, so ndo wahuni wamelalia apo
miss pablo kweli unatujuwa wahuni ulipi pata mirinda nyeusi nalipa alafMleta mada ni mfilipino[emoji23][emoji23] muache azame na meli ya kigiriki. Sisi tunataka mahardcore. Kuna uhuni fulan ukanifanyia hata public poa tu[emoji23] kuna raha sana kudeka kwa hardcore. Kule huwa tunaiva sana. Halaf dress code pia napenda akivaa cardet ama jeans suruali na shati juu. Halaf kiati avae either moka ama boots za kueleweka kama safari boots etc. Ila siyo ile midosho ya american boots[emoji23][emoji23]
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Mleta mada ni mfilipino[emoji23][emoji23] muache azame na meli ya kigiriki. Sisi tunataka mahardcore. Kuna uhuni fulan ukanifanyia hata public poa tu[emoji23] kuna raha sana kudeka kwa hardcore. Kule huwa tunaiva sana. Halaf dress code pia napenda akivaa cardet ama jeans suruali na shati juu. Halaf kiati avae either moka ama boots za kueleweka kama safari boots etc. Ila siyo ile midosho ya american boots[emoji23][emoji23]
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Kula tano mkuu, Mimi binafsi Niko hivyo, nakumbuka wakati fulani nilikuwa natamani nimpate mwanaume ambae kapitia anasa zote na nilivyopata akapropose sikuchomoa na huwezi amini namshukuru Mungu kwa Hilo, na mwenye maadili ya kipadri nikampiga chini,, wanawake akili zetu sielewi tukojeKwa kiufupi jibu kwa mleta mada ni wanawake kwenye mambo ya attraction wako opposite na sisi
Sisi tunapenda mwanaume mwenye aibu kidogo wao hapana
Sisi tunapenda mwanamke laini wao hawapend mwanaume wa hvyo
Sisi tunapenda mwanamke ambae hajapigwa sana wao pia ni opposite ya hyo, so ndo wahuni wamelalia apo
Wapi umetajwa mjani we nawe ??Unataka kusema baba wa taifa alikua akila mjani ?? ..
[emoji23][emoji23] utani tuWapi umetajwa mjani we nawe ??
Mungu akupe maisha marefu 🌹Sasa arifu mimi namuweza wapi mtoto wa mtu amepooza? I love a loving and commanding man. Yaan akiongea moyo unapiga najiambia yeeesss, ameongea mwanaume mpk chupi inalowana[emoji23][emoji23] paroko hapana. Hanifai. Huyo awe wa misa tu na jumuiya... napenda zile cuddles za kigumu with passion. Sasa mwanaume kama hana pigo za kihuni namfanyaje? Nataka hata likija kuwa libaba lakini ule uhuni uwepo[emoji23][emoji23]
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3] huyo mwenye kovu ndiye anayefaidi vyote, huyo sharobaro itakuwa kazi yake kunywa fanta chips haa haa haaSasa nyinyi mnaojiita masharobaro kazi yenu ni kuagiza chipsi mdebwedo zenye mayonaizi nyingi pale Kwa Mayweather chipsi ..kuvaa nguo za kike,kuweka breach kichwani na kulamba lipsi km paka aliyepigwa mwiko mdomoni..kitandani hamna maajabu yoyote zaidi ya kimoko chali
Upande wa pili watoto wa kihuni hawanaga mambo mengi wao wanafocus kwenye kupeleka Moto Tu Hadi mtoto anakimbilia kujibana ukutani Kwa nn wasishobokewe?
Kuna demu mtaani ana mabwana watatu;mmoja ni Hb sharobaro wa kuuza nae Sura kwenye mitoko ya Cheka Tu mlimani city na kidimbwi beach,wa pili ni sponsor wa kutoa mitonyo na watatu ndy huyo uliyemuanzishia uzi_muhuni mmoja hivi ana kovu la wembe upande wa kushoto wa shavu.. Mzee wa kufanikisha mission mzima ya kitandani iliyowashinda hao wawili
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
😅Inaelekea kuna "mhuni" kamtenda; unabidi afunguke zaidiAma tumuulize Maria nyerere mana nae alimkubali Nyerere wakati anavuta fegi
huyu mleta mada ana imani potofu sana,
Ndiyo twambie siri ya upendo wako kwakeKuna kaka mmoja wenzie wanamwambia ameokota dodo kwenye mwarobaini na mimi huwa naambiwa nimerogwa sio bure. Kwanza anavuta majani ile mbaya, kipato chake anaaford kula kwa siku kutokana na kazi yake. Lakini ndio nimekufa nimeoza kila mtu anatamani kujua sababu ila hata mimi sijui.
😜Wahuni sio watu wazuri!
Sio yule hata mkiwa mmekaa hata kugusa kidole cha mpenzi wake hawezi yupo kama dubwasha lakuwekea sigara, tupa kule [emoji847]Sasa arifu mimi namuweza wapi mtoto wa mtu amepooza? I love a loving and commanding man. Yaan akiongea moyo unapiga najiambia yeeesss, ameongea mwanaume mpk chupi inalowana[emoji23][emoji23] paroko hapana. Hanifai. Huyo awe wa misa tu na jumuiya... napenda zile cuddles za kigumu with passion. Sasa mwanaume kama hana pigo za kihuni namfanyaje? Nataka hata likija kuwa libaba lakini ule uhuni uwepo[emoji23][emoji23]
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Dah!...nishakukosa aisee....poor meSio yule hata mkiwa mmekaa hata kugusa kidole cha mpenzi wake hawezi yupo kama dubwasha lakuwekea sigara, tupa kule [emoji847]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] pole jamaniDah!...nishakukosa aisee....poor me
Wahuni aka f*ck boys ni mitambo ya kutengeneza single mother na wana wagonga haswa, wale ndugu zangu waseminali wanaonekaga hawana maana mwanzoni, ila binti akienda huko na kuvurugwa haswa akili zina mrudi na kumkumbuka mseminari.Wakuu kuna kitu kinanishangaza sana kuhusu hawa dada zetu mbona hawaeleweki?
Kuna mwanangu mmoja hana muonekano hana hela ila ni muhuni anavuta sigara lakini wanawake wanampenda mno awala sana yaani ghetto kwake mezani amepanga sigara.
Halafu kuna siku alimleta demu akampiga baadae aakaanza kuvuta sigara mbele ya demu lakini demu mkali akawa anacheka cheka hadi leo kamganda jamaa,
Dada zangu kwanini mnawapenda wanaume wahuni?