Dada zangu mnavyojichubua ngozi, Mungu anawaona

PARADIGM Hata kama, eti kwa sababu tu ya kuonekana ndiyo ulazimishe uonekane?
 
Ivi wakuu na kule makuni kupo kweupe au usoni tu,namna hii unaoa anakuzalia watoto weusi unazani umechapiwa kumbe interior genes zake ni mweusi
 
Mwenye Enzi Mungu ametupa hekima kwenye kila kitu. ...FUNGUKA!
 
Ww demu/mkeo hajajichubua? km jb ni hapana bhas tuma pcha yake ya ss na ya miaka 3 iliyopta ila kama ni ndio bhas kausha nayo...tuanzie hapo
katika picha nilizoambatanisha hapo juu...mmoja wao ni shemeji yako, akiwa katika muonekano tofauti 6years back and now
 
Ila uongo zambi mkorogo umemkubali,kawa mtamuuu
 
Mmmh mi hapo acha nimpende tu baada ya kuingia kwenye machine ya kukoboa!Hamna namna
Shikamoo mchina!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…