Dada zangu mnavyojichubua ngozi, Mungu anawaona

Ataumbuka kwenye viungio vya vidole na mikono, hivi hata ufanye nini huwa havibadiliki rangi.
 
Kweli wanawake weusi wataanza kupuputika kama tembo kwenye hifadhi zetu, nao waanze kulindwa na mitutu
Hahahaaaaaaa,umetisha sana!Hivi assume ulienda nje kusoma ukamuacha demu wako chausiku,leo unarudi unakuta anaitwa cutelicious baby halafu ndio kabadilika hivyo!Utanuna au utafurahi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…