Dada zetu Acheni kudanga; ama mpunguze. Hii ni too much sasa.

Dada zetu Acheni kudanga; ama mpunguze. Hii ni too much sasa.

Nikifa MkeWangu Asiolewe

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2024
Posts
6,944
Reaction score
14,351
Kama wazazi wenu hawa muambii Ni vyema na haki mkaachana na biashara ya udangaji kwani ni hatari Kwa afya zenu na Kwa jamii pia.

Leo kwenye saa6 mchana mdada wawatu kidogo achinjwe.

IKO HIVI.....
Huyu dada alikuwa na bwanake permanent anaye muhudumia Kila kitu inshort ni nusu Mme wake.

Jamaa alisafiri kwenda Arusha ijumaa Jana jpili akarudi kimya kimya akalala kahama.

Leo katoka kahama Hadi Kwa hawala yake si akakuta jemba nyingine imo imekesha na imelala kabisa mchana kweupe.

Valangati ndo likaanza Sasa yule jamaa aliyefumwa akajitetea
Bro Mimi wanionea tu sijawahi ambiwa na huyu dada na nipo tangu Jana (jpili) jioni hapa.

Muda huo jamaa ana kisu mkononi. Vile anataka amchome yule msela (mfumaniwa) akakidaka kisuu ndo kupiga makelele watu wakajaa pale.

Hili tukio ni la4 huu mwaka achana na ya kisu mengi ni kipigo Cha mbwa Koko tu. Na jamaa wanabeba mizigo Hadi na nguo walizo kununulia.

Kuna mwingine mafuta yalihusika baada ya kufumaniwa jamaa akasema kumbe wewe ni Malaya sana akaita wahuni. Ni aibu na wote wanahama mtaa kama wezi.

Hivi ninyi hizo kitu Zenu hamuzioneagi huruma jamani hata kidogo? Au ndo vile zishaota sugu ?


Tukio la Leo limenikuta nimelishihudia mengine ya kusimuliwa na bahati nzuri wale wadada baadhi Yao nawajua.
 

Attachments

  • FB_IMG_1726465706178.jpg
    FB_IMG_1726465706178.jpg
    32.1 KB · Views: 9
Kumchoma mtu kisu kwa sababu umemfumania ni ufala tu.

Ukimfumania mtu na mwanamke wako hapo kosa ni lako mwanamme.

Kuna sehemu umekosea.

Wanawake hawawezi kuacha kudanga kama wanaume hawaachi kutumia hela kwenye mapenzi.
 
Kama wazazi wenu hawa muambii Ni vyema na haki mkaachana na biashara ya ufangani kwani ni hatari kwenu na Kwa jamii pia.

Leo kwenye saa6 mchana mdada wawatu kidogo achinjwe.

IKO HIVI.....
Huyu dada alikuwa na bwanake permanent anaye muahudumia Kila kitu inshort ni nusu Mme wake.

Jamaa alisafiri kwenda Arusha ijumaa Jana jpili akarudi kimya kimya akalala kahama.

Leo katoka kahama Hadi Kwa hawala yake si akakuta jemba nyingine imo imekesha na imelala kabisa mchana kweupe.

Valangati ndo likaanza Sasa yule jamaa aliyefumwa akajitetea
Bro Mimi wanionea tu sijawahi ambiwa na huyu dada na nipo tangu Jana jpili jioni hapa.

Muda huo jamaa ana kisu mkononi. Vile anataka amchome yule msela (mfumaniwa) akakidaka kisuu ndo kupiga makelele watu wakajaa pale.

Hili tukio ni la4 huu mwaka achana na ya kisu mengi ni kipigo Cha mbwa Koko tu. Na jamaa wanabeba mizigo Hadi na nguo walizo kununulia.

Kuna mwingine mafuta yalihusika baada ya kufumaniwa jamaa akasema kumbe wewe ni Malaya sana akaita wahuni. Ni aibu na wote wanahama mtaa kama wezi.

Hivi ninyi hizo kitu Zenu hamuzioneagi huruma jamani hata kidogo? Au ndo vile zishaota sugu ?


Tukio la Leo limenikuta nimelishihudia mengine ya kusimuliwa na bahati nzuri wale wadada baadhi Yao nawajua.
Shida ni kwamba hazina MITA na hazilipiwi Kodi!
 
Kumchoma mtu kisu kwa sababu umemfumania ni ufala tu.

Ukimfumania mtu na mwanamke wako hapo kosa ni lako mwanamme.

Kuna sehemu umekosea.

Wanawake hawawezi kuacha kudanga kama wanaume hawaachi kutumia hela kwenye mapenzi.
yote tisa, Hao wanawake wenye kariba hiyo hua wanawatoa wapi???? Mwanamke malaya red flags zinaonekana wazi wazi
 
Kumchoma mtu kisu kwa sababu umemfumania ni ufala tu.

Ukimfumania mtu na mwanamke wako hapo kosa ni lako mwanamme.

Kuna sehemu umekosea.

Wanawake hawawezi kuacha kudanga kama wanaume hawaachi kutumia hela kwenye mapenzi.
Huyu dada hata sio mbali na kwangu na siku zote tu najua kaolewa kabisa.

Jamaa alikuwa amemnunulia Hadi zile pikipiki za wanawake (sijui jina maalumu) sidhani kama kulikuwa na issue ya Hela hiyo ni Siri Yao.

Kuhusu kuchinja huo ni ujinga sana na upumbavu wanawake ni wengi sana.
 
Back
Top Bottom