Dada zetu Acheni kudanga; ama mpunguze. Hii ni too much sasa.

Dada zetu Acheni kudanga; ama mpunguze. Hii ni too much sasa.

Huyu dada hata sio mbali na kwangu na siku zote tu najua kaolewa kabisa.

Jamaa alikuwa amemnunulia Hadi zile pikipiki za wanawake (sijui jina maalumu) sidhani kama kulikuwa na issue ya Hela hiyo ni Siri Yao.

Kuhusu kuchinja huo ni ujinga sana na upumbavu wanawake ni wengi sana.
Halafu wewe jomba mke wako anaweza kuolewa hata ukiwa hai. Kuna uzi humu jamaa analalamika mkewe kuolewa
 
Kumchoma mtu kisu kwa sababu umemfumania ni ufala tu.

Ukimfumania mtu na mwanamke wako hapo kosa ni lako mwanamme.

Kuna sehemu umekosea.

Wanawake hawawezi kuacha kudanga kama wanaume hawaachi kutumia hela kwenye mapenzi.
Kwani ni wanaume ndo tuliamua hela itumike kwenye mapenzi?

Ni wanawake ndo waliamua(hii ni story nyingine ndefu lakini)

Ukimkuta mtu anachepuka kosa ni 1. Lake na 2. La anayechepuka naye ikiwa anafahamu kabisa huyo mhusika ana mahusiano mengine.
 
Kama wazazi wenu hawa muambii Ni vyema na haki mkaachana na biashara ya udangaji kwani ni hatari Kwa afya zenu na Kwa jamii pia.

Leo kwenye saa6 mchana mdada wawatu kidogo achinjwe.

IKO HIVI.....
Huyu dada alikuwa na bwanake permanent anaye muhudumia Kila kitu inshort ni nusu Mme wake.

Jamaa alisafiri kwenda Arusha ijumaa Jana jpili akarudi kimya kimya akalala kahama.

Leo katoka kahama Hadi Kwa hawala yake si akakuta jemba nyingine imo imekesha na imelala kabisa mchana kweupe.

Valangati ndo likaanza Sasa yule jamaa aliyefumwa akajitetea
Bro Mimi wanionea tu sijawahi ambiwa na huyu dada na nipo tangu Jana (jpili) jioni hapa.

Muda huo jamaa ana kisu mkononi. Vile anataka amchome yule msela (mfumaniwa) akakidaka kisuu ndo kupiga makelele watu wakajaa pale.

Hili tukio ni la4 huu mwaka achana na ya kisu mengi ni kipigo Cha mbwa Koko tu. Na jamaa wanabeba mizigo Hadi na nguo walizo kununulia.

Kuna mwingine mafuta yalihusika baada ya kufumaniwa jamaa akasema kumbe wewe ni Malaya sana akaita wahuni. Ni aibu na wote wanahama mtaa kama wezi.

Hivi ninyi hizo kitu Zenu hamuzioneagi huruma jamani hata kidogo? Au ndo vile zishaota sugu ?


Tukio la Leo limenikuta nimelishihudia mengine ya kusimuliwa na bahati nzuri wale wadada baadhi Yao nawajua.
Kwenye hayo mambo kuna zaidi ya fedha na hizo huduma
 
Kwani ni wanaume ndo tuliamua hela itumike kwenye mapenzi?

Ni wanawake ndo waliamua(hii ni story nyingine ndefu lakini)

Ukimkuta mtu anachepuka kosa ni 1. Lake na 2. La anayechepuka naye ikiwa anafahamu kabisa huyo mhusika ana mahusiano mengine.
Hakuna mwanamke anayeweza kutumia hela ya mwanamme kwenye mapenzi bila ya mwanamme kukubali.

Ukiwa na mwanamke anayekuja kuchepuka ina maana umeshindwa kuchagua mwanamke asiyechepuka, kosa la awali kabisa ni lako hapo.
 
Mleta mada huu ushauri wako ungeanza kuwashauri wale wanaume wahongaji ndio ingeleta maana,hakuna soko bila wateja,

Demand ikiwepo basi supply itakuwepo tu,ni sawa na kuwalaumu wezi badala ya kuwalaumu wanaonunua vitu vya wizi,

Kwa kumalizia,Malaya ni malaya tu,hata akipewa kila kitu au kuridhishwa,ule umalaya atakua nao tu,

Binadamu unapifikia stage ya kuuza mwili wako,unakua umefika stage ya ukichaa fulani,yani hela inakua na thamani kuliko mwili wako?
 
Huyu dada hata sio mbali na kwangu na siku zote tu najua kaolewa kabisa.

Jamaa alikuwa amemnunulia Hadi zile pikipiki za wanawake (sijui jina maalumu) sidhani kama kulikuwa na issue ya Hela hiyo ni Siri Yao.

Kuhusu kuchinja huo ni ujinga sana na upumbavu wanawake ni wengi sana.
Anajifanya kamfiaa(kumpenda)!
 
Back
Top Bottom