Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Hiyo ajali kazini tu, mboga moja inachosha acha watu wabadili ladhaKwakweli sio sawa ni Vyema ukaenda sehemu tofauti na makazi yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ajali kazini tu, mboga moja inachosha acha watu wabadili ladhaKwakweli sio sawa ni Vyema ukaenda sehemu tofauti na makazi yako
Jamaa kutomb""wa kunavyouma vile halafu msela umkute Bado kalala saa6 mchanaAisee! Kuna watu wao wako timilifu sana 🤣.
They are so perfect in every way.
Sio sawa angekufa.Hiyo ajali kazini tu, mboga moja inachosha acha watu wabadili ladha
Hii nikweli mwanaume ukijua piga chini Kwa gharama yoyote ilePindi wanaume wawili mkigundua mnamahusiano na mwanamke mmoja yule anaefanikiwa kubaki na huyo mwanamke ndo mwanaume dhaifu zaidi.
Waende Kwa mwamposaTufumbe macho tuwaombee dua njema.🙏😎
Halafu wewe jomba mke wako anaweza kuolewa hata ukiwa hai. Kuna uzi humu jamaa analalamika mkewe kuolewaHuyu dada hata sio mbali na kwangu na siku zote tu najua kaolewa kabisa.
Jamaa alikuwa amemnunulia Hadi zile pikipiki za wanawake (sijui jina maalumu) sidhani kama kulikuwa na issue ya Hela hiyo ni Siri Yao.
Kuhusu kuchinja huo ni ujinga sana na upumbavu wanawake ni wengi sana.
Lakini Mzee Kiranga hawa malaya low profile huwa wanasaidia sana ukiwa na ugwadu. Wananunulika.Red flags utaona wewe, watu wengine ni color blind.
Mwanamke wa ajabu hatakiwi hata kusalimiwa, yani unatakiwa umjue kabla hata ya kumpa salamu.
Kwani ni wanaume ndo tuliamua hela itumike kwenye mapenzi?Kumchoma mtu kisu kwa sababu umemfumania ni ufala tu.
Ukimfumania mtu na mwanamke wako hapo kosa ni lako mwanamme.
Kuna sehemu umekosea.
Wanawake hawawezi kuacha kudanga kama wanaume hawaachi kutumia hela kwenye mapenzi.
Unakosea kudhani pesa ndo sababu pekee ya wanawake kuchepuka.wakiacha kuhonga na wao wataacha kudanga.
hii waiwekee frame waibandike ukutani kabisaPindi wanaume wawili mkigundua mnamahusiano na mwanamke mmoja yule anaefanikiwa kubaki na huyo mwanamke ndo mwanaume dhaifu zaidi.
mtufundisheHamuwaridhishi kwa bed mnategemea nini
Tuanzishe vituo labdamtufundishe
Kwenye hayo mambo kuna zaidi ya fedha na hizo hudumaKama wazazi wenu hawa muambii Ni vyema na haki mkaachana na biashara ya udangaji kwani ni hatari Kwa afya zenu na Kwa jamii pia.
Leo kwenye saa6 mchana mdada wawatu kidogo achinjwe.
IKO HIVI.....
Huyu dada alikuwa na bwanake permanent anaye muhudumia Kila kitu inshort ni nusu Mme wake.
Jamaa alisafiri kwenda Arusha ijumaa Jana jpili akarudi kimya kimya akalala kahama.
Leo katoka kahama Hadi Kwa hawala yake si akakuta jemba nyingine imo imekesha na imelala kabisa mchana kweupe.
Valangati ndo likaanza Sasa yule jamaa aliyefumwa akajitetea
Bro Mimi wanionea tu sijawahi ambiwa na huyu dada na nipo tangu Jana (jpili) jioni hapa.
Muda huo jamaa ana kisu mkononi. Vile anataka amchome yule msela (mfumaniwa) akakidaka kisuu ndo kupiga makelele watu wakajaa pale.
Hili tukio ni la4 huu mwaka achana na ya kisu mengi ni kipigo Cha mbwa Koko tu. Na jamaa wanabeba mizigo Hadi na nguo walizo kununulia.
Kuna mwingine mafuta yalihusika baada ya kufumaniwa jamaa akasema kumbe wewe ni Malaya sana akaita wahuni. Ni aibu na wote wanahama mtaa kama wezi.
Hivi ninyi hizo kitu Zenu hamuzioneagi huruma jamani hata kidogo? Au ndo vile zishaota sugu ?
Tukio la Leo limenikuta nimelishihudia mengine ya kusimuliwa na bahati nzuri wale wadada baadhi Yao nawajua.
Ila hela zao tamu 🤣🤣🤣 kweli hamna mbususu yako peke yakoHamuwaridhishi kwa bed mnategemea nini
Kama unataka kununua ni haki yako pia, hela zako, maelewano yenu wenyewe.Lakini Mzee Kiranga hawa malaya low profile huwa wanasaidia sana ukiwa na ugwadu. Wananunulika.
Hakuna mwanamke anayeweza kutumia hela ya mwanamme kwenye mapenzi bila ya mwanamme kukubali.Kwani ni wanaume ndo tuliamua hela itumike kwenye mapenzi?
Ni wanawake ndo waliamua(hii ni story nyingine ndefu lakini)
Ukimkuta mtu anachepuka kosa ni 1. Lake na 2. La anayechepuka naye ikiwa anafahamu kabisa huyo mhusika ana mahusiano mengine.
Sijaongelea kuchepuka, nimeongelea kudanga.Unakosea kudhani pesa ndo sababu pekee ya wanawake kuchepuka.
Kuna watu hawatulii kwenye mahusiano hata kama yanawanufaisha.
Anajifanya kamfiaa(kumpenda)!Huyu dada hata sio mbali na kwangu na siku zote tu najua kaolewa kabisa.
Jamaa alikuwa amemnunulia Hadi zile pikipiki za wanawake (sijui jina maalumu) sidhani kama kulikuwa na issue ya Hela hiyo ni Siri Yao.
Kuhusu kuchinja huo ni ujinga sana na upumbavu wanawake ni wengi sana.