Dada zetu Acheni kudanga; ama mpunguze. Hii ni too much sasa.

Dada zetu Acheni kudanga; ama mpunguze. Hii ni too much sasa.

Hakuna mwanamke anayeweza kutumia hela ya mwanamme kwenye mapenzi bila ya mwanamme kukubali.

Ukiwa na mwanamke anayekuja kuchepuka ina maana umeshindwa kuchagua mwanamke asiyechepuka, kosa la awali kabisa ni lako hapo.
Haiwezekani kujua kama mtu atakusaliti au la, watu hawatabiriki

Pesa sio kigezo pekee kwenye mapenzi mbona, mambo ya usaliti yapo hadi kwa matajiri...
Kwahiyo pesa inaweza isiwe sababu ama sababu pekee ya usaliti
 
Haiwezekani kujua kama mtu atakusaliti au la, watu hawatabiriki

Pesa sio kigezo pekee kwenye mapenzi mbona, mambo ya usaliti yapo hadi kwa matajiri...
Kwahiyo pesa inaweza isiwe sababu ama sababu pekee ya usaliti
Saddam Hussein alisema anamjua mtu atakayemsaliti kabla huyo mtu mwenyewe hajajua kuwa atamsaliti Saddam Hussein. Unatakiwa kuwa na uwezo huo.

Sijasema pesa ni kigezo pekee, nimesema wanaume wakiacha kutumia pesa kwenye mapenzi wanawake wataacha kudanga.
 
Kitu nimejifunza kupitia Mahusiano na wanawake ni kua.
Lolote na chochote kinaweza kutokea unapokua na mwanamke ktk mahusiano.
Usifanye Jambo lolote eti kumfanya mwanamke asikusaliti au iwe ndo garantee ya kua na wewe.
K ni yake na anamaamuzi ya kumpa yeyote amtakae, muda wowote.
Kumpangia nyumba. Kumnunulia gari na chochote utakachofanya kwa mwanamke ni sawa sawa na kutupa mwanamke hana kumbukumbu Wala shukrani...
NOTE" Ukitupa kitu jalalani uwezi kua na kumbukumbu nacho, ndivyo ilivyo akili ya mwanamke, Chocho anachofanyiwa cha maana au cha Gharama huwa ana kumbukumbu nacho na mwanamke akipenda Sehemu hata kichakani au kwenye zizi la ngo'mbe analala bila shida na utagonga utakavyo" Hao ndo wanawake.
 
Hayo mambo hayawezi isha, eti kusema siku moja itatokea wanaume wote wakapata akili moja.

Sijasema yanaweza isha, nimeonesha kanuni.

Mara nyingine wanaume wanalaumu sana wanawake kupenda hela, kama vile wao wenyewe wanaume hawahusiki kabisa katika huu uchumi wa mapenzi.

Wakati uchumi huu hauwezi kuendelea bila support ya wanaume.

Sawa basi, mwanamme asiyetaka kutumia hela kwenye mapenzi amtafute mwanamke asiyetaka kutumia hela kwenye mapenzi.

Na wanaotaka kutumia hela kwenye mapenzi watafutane wenyewe.
 
Kitu nimejifunza kupitia Mahusiano na wanawake ni kua.
Lolote na chochote kinaweza kutokea unapokua na mwanamke ktk mahusiano.
Usifanye Jambo lolote eti kumfanya mwanamke asikusaliti au iwe ndo garantee ya kua na wewe.
K ni yake na anamaamuzi ya kumpa yeyote amtakae, muda wowote.
Kumpangia nyumba. Kumnunulia gari na chochote utakachofanya kwa mwanamke ni sawa sawa na kutupa mwanamke hana kumbukumbu Wala shukrani...
NOTE" Ukitupa kitu jalalani uwezi kua na kumbukumbu nacho, ndivyo ilivyo akili ya mwanamke, Chocho anachofanyiwa cha maana au cha Gharama huwa ana kumbukumbu nacho na mwanamke akipenda Sehemu hata kichakani au kwenye zizi la ngo'mbe analala bila shida na utagonga utakavyo" Hao ndo wanawake.
Sikupingi mkuu
 
Saddam Hussein alisema anamjua mtu atakayemsaliti kabla huyo mtu mwenyewe hajajua kuwa atamsaliti Saddam Hussein. Unatakiwa kuwa na uwezo huo.

Sijasema pesa ni kigezo pekee, nimesema wanaume wakiacha kutumia pesa kwenye mapenzi wanawake wataacha kudanga.
Hawa Hawa wakileo?
 
FB_IMG_1728318289164.jpg
 
Back
Top Bottom