Dada zetu acheni kuombaomba, mnajidhalilisha na jifunzeni kuficha njaa zenu

Dada zetu acheni kuombaomba, mnajidhalilisha na jifunzeni kuficha njaa zenu

Ila wanaume wa humu kama wamemtenda mtoto wa watu wamemuharibu aisee

Haeleweki kabisa...its like kuna kitu kibaya kafanyiwa na wanaume wa humu!...maana comments zake naonaga shutuma tu...anataka wanaume wa nje[emoji23] [emoji23]
 
Hahahaaa. Lakini salama.

Angekutana na wale kina Mwajuma ndala ndefu mbona angesuuzwa nafsi ila hongera rafiki maana umeonyesha ukomavu. Teh teh

[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Haaahaaaa asante....mi mwanamke mwenzangu nikiona kavurugwa haki najisikia vibaya sana!...wanawake tuna mateso sana humu duniani...so huwa nafeel pity!

Pole zake maskini!
 
Back
Top Bottom