Dada zetu acheni kuombaomba, mnajidhalilisha na jifunzeni kuficha njaa zenu

Dada zetu acheni kuombaomba, mnajidhalilisha na jifunzeni kuficha njaa zenu

Haaahaaa...Hajar mchokozi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125]
Hahahaaa. Siku moja moja tuwachoze tu maana huwa wanatuchokoza pia.

😂😂😂😂🎵🎵🎵 "Huku ni Kupatwa kwa Wity leo"🎵🎵🎵🎵 💃💃💃💃

Naimba tu rafiki. 😂😂😂😂
 
Ishu ya kuombwa hela nadhani kina kaka kwa sasa mnaongoza jamani, mimi mpaka nimeamua mapenzi basi mnapiga vibomu mnooo mpaka unajiuliza huyu mpenzi au marioo, kwakweli mnakera.
Anayekupiga vibomu ni mpenzi wako ama ndugu yako?Kama ni kebenten basi ni sawa tu
 
Nimemskip maskini mdada wa watu, stress mbaya......atakuwa kachanganya mafile mi wapi na wapi na yeye!...hata nyuzi zake sizijui[emoji26] [emoji15]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sijui wamemfanyaje watu wa JF
 
Katoto kazuri,tatizo lako moja.
Kwenye mada nyingi baada ya kutoa mchango kueleza,wewe unajielezea.
Ndio maana unakumbana na chalenge nyingi sana,ukiacha kujielezea, jf utaiona nzuri sana,.

....ana matatizo ya kisaikolojia baada ya kuachwa na mtu aliyeamini kuwa atamuoa
 
Hahahaaa. Siku moja moja tuwachoze tu maana huwa wanatuchokoza pia.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji444][emoji444][emoji444] "Huku ni Kupatwa kwa Wity leo"[emoji444][emoji444][emoji444][emoji444] [emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]

Naimba tu rafiki. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Haaahaaaa....hataree sana!
 
Back
Top Bottom