Dada zetu acheni kuombaomba, mnajidhalilisha na jifunzeni kuficha njaa zenu

Dada zetu acheni kuombaomba, mnajidhalilisha na jifunzeni kuficha njaa zenu

Wanakera kuna vijidudu watu humu wanadhani wenzao wao nihali ya chinii hata maji hawawezi nunua .
Yaani ukicomment ukisema chochote wewe ni mdangaji eh hivi tanzania nani anataka kuolewa humu watu wanataka kuolewa nje eti wapate air fresh sio humu tokea uzaliwe unaishi tu humu

Unavyoongea unaonekana ni mdangaji kabisa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwani na humu wamo eee?

[emoji125]‍♂️[emoji125]‍♂️[emoji125]‍♂️[emoji125]‍♂️
Haaahaaa...Hajar mchokozi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125]
 
Hahahaaa. Ila kama mie huwa namuwekaga upande wa ile Id yake basi najikuta najijibu mwenyewe tu kwamba hajamature bado hivyo utoto nao sometimes huwa ni tatizo.
kwa nini unagongwa na watoto?
 
Halafu mambo yalivyo badilika siku hizi wanaume ndio mmekua ombaomba matonya asubiri. Mkija huku mnabadilisha maneno
Wanaume wanaomba nini?? Najua wanachoomba ni papuchi
 
Back
Top Bottom