Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Mmh. Naenda kusema Shem.sikia katoto kazuri wewe tafuta bwana umuhonge ili uwakomeshe watu wa jf
tena ikiwezekana nifuate mimi
halafu nitazisambaza sifa zako humu kwamba wewe sio mdangaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmh. Naenda kusema Shem.sikia katoto kazuri wewe tafuta bwana umuhonge ili uwakomeshe watu wa jf
tena ikiwezekana nifuate mimi
halafu nitazisambaza sifa zako humu kwamba wewe sio mdangaji
Anakuingia na gia ya project fulani eti umkopeshe hela....jamani wanaume wengi siku hizi ni wanadanga balaa[emoji15]...konki konki hakukosea!Halafu mambo yalivyo badilika siku hizi wanaume ndio mmekua ombaomba matonya asubiri. Mkija huku mnabadilisha maneno
Wacha wehWewe unaongoza kwa kuniona mi mdangaji na hunijui unachonijulia ni hapa tu katoto kazuri basi je nikikuuliza nimekuibia mchumba nimemchuna mchumba au michepuko yako wala so kwa nini unamadai ya kuita wenzio wadangaji je wewe tukikuita jina ambalo hupendi tena kila siku siutaona humu ni pachungu.
Mf. Nikuite malaya tena unatoa kwa mkopo utapenda .
Mimi nimechoka nikiwa na stress zangu vimeo ambao hawana ramani wanijilinganisha na mimi isitoshe wananishusha hadhi na hawanijui msinizoe mimi sio wema sepetu najitambua nataka nini.
Kama nikuacha kukoment humu nitatafuta blogs nyingine huku kunawatu boring wanajiona kama nini
Na ukiwafutilia maisha yao nikuact
Ungeuliza umri na elimu yake....then ujudgeNaomba kujua umri wako
Anakuingia na gia ya project fulani eti umkopeshe hela....jamani wanaume wengi siku hizi ni wanadanga balaa[emoji15]...konki konki hakukosea!
Wacha weh
Usinichoshee mtu wa kigoma wewe [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Haaahaaaa....shost ukajikuta unadangwa?[emoji23] [emoji23]Ishu ya kuombwa hela nadhani kina kaka kwa sasa mnaongoza jamani, mimi mpaka nimeamua mapenzi basi mnapiga vibomu mnooo mpaka unajiuliza huyu mpenzi au marioo, kwakweli mnakera.
😂😂😂😂😂Ahaaaahaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23].... ..jf never boring
MmmhWewe unaongoza kwa kuniona mi mdangaji na hunijui unachonijulia ni hapa tu katoto kazuri basi je nikikuuliza nimekuibia mchumba nimemchuna mchumba au michepuko yako wala so kwa nini unamadai ya kuita wenzio wadangaji je wewe tukikuita jina ambalo hupendi tena kila siku siutaona humu ni pachungu.
Mf. Nikuite malaya tena unatoa kwa mkopo utapenda .
Mimi nimechoka nikiwa na stress zangu vimeo ambao hawana ramani wanijilinganisha na mimi isitoshe wananishusha hadhi na hawanijui msinizoe mimi sio wema sepetu najitambua nataka nini.
Kama nikuacha kukoment humu nitatafuta blogs nyingine huku kunawatu boring wanajiona kama nini
Na ukiwafutilia maisha yao nikuact
wewe ni mdangaji.......hakuna mwanaume atakaye lipa zaidi ya elf 20 sababu una mashine mbovu ,nakujua vizuri..Tujiuze wapi kwanani mnadhani kila mtu anawaza kuliwa na malala haoi kanyie kunawadada kama sisi tunajituma nakila tulichonacho wanaume hawawezi kutununua hata waje na nini so usituweke pamoja nahao mnao wapa elfu kumi halafu mnajiona nikwakila mdada .
Dhamani yangu ndio maisha yangu.
Umenielewa naukome nahao magroup ya wenzio kunichanganya na vimada vyenu .
Mmenielewa maisha ni mwangu sijawahi uza k yangu kwamaana nasubiria mwanaume aje anioe kistaarabu so kama humu ndani kuna list ya wapumbavu wanaona wanawake ni wakujiuza kisa vihela vya mikopo mtukome na vinguo vya misaada na vigari vya mikopo na uchokaji wa maisha wenu.
Msituletee sisi .
Kazoeni hadhi zenu.
Mie wananikera wanavyojifanya kuwa wao ndio wenye hela, wao ndio wanaojua kutafuta hela, wao ndio wanaoombwa hela...Shangaa[emoji15] [emoji15] ....binafsi naiona hela ya mwanaume kama nuksi, itaniharibia deal zangu
Mambo ya exchange trade hayo..Nipe nikupe au sioHuwa mnaombwa baada ya kuomba...huwezi kuombwa kama hujaomba!!!.
Ndio ulichotaka
Kama mna hela mbona mnakua omba omba(wengi wenu)Kwani ni nyie wanaume wenye uwezo wa kutafuta hela wanawake hawawezi?mbona mnapenda kujifanya kuwa mnaombwa sana hela? Kwani wanawake hawana hela?
Ya ttcl? Nakutumia soonNaomba vocha