Dada zetu acheni kuombaomba, mnajidhalilisha na jifunzeni kuficha njaa zenu

Dada zetu acheni kuombaomba, mnajidhalilisha na jifunzeni kuficha njaa zenu

Wewe unaongoza kwa kuniona mi mdangaji na hunijui unachonijulia ni hapa tu katoto kazuri basi je nikikuuliza nimekuibia mchumba nimemchuna mchumba au michepuko yako wala so kwa nini unamadai ya kuita wenzio wadangaji je wewe tukikuita jina ambalo hupendi tena kila siku siutaona humu ni pachungu.
Mf. Nikuite malaya tena unatoa kwa mkopo utapenda .
Mimi nimechoka nikiwa na stress zangu vimeo ambao hawana ramani wanijilinganisha na mimi isitoshe wananishusha hadhi na hawanijui msinizoe mimi sio wema sepetu najitambua nataka nini.
Kama nikuacha kukoment humu nitatafuta blogs nyingine huku kunawatu boring wanajiona kama nini
Na ukiwafutilia maisha yao nikuact
Wacha weh
 
Ishu ya kuombwa hela nadhani kina kaka kwa sasa mnaongoza jamani, mimi mpaka nimeamua mapenzi basi mnapiga vibomu mnooo mpaka unajiuliza huyu mpenzi au marioo, kwakweli mnakera.
Haaahaaaa....shost ukajikuta unadangwa?[emoji23] [emoji23]
 
Wewe unaongoza kwa kuniona mi mdangaji na hunijui unachonijulia ni hapa tu katoto kazuri basi je nikikuuliza nimekuibia mchumba nimemchuna mchumba au michepuko yako wala so kwa nini unamadai ya kuita wenzio wadangaji je wewe tukikuita jina ambalo hupendi tena kila siku siutaona humu ni pachungu.
Mf. Nikuite malaya tena unatoa kwa mkopo utapenda .
Mimi nimechoka nikiwa na stress zangu vimeo ambao hawana ramani wanijilinganisha na mimi isitoshe wananishusha hadhi na hawanijui msinizoe mimi sio wema sepetu najitambua nataka nini.
Kama nikuacha kukoment humu nitatafuta blogs nyingine huku kunawatu boring wanajiona kama nini
Na ukiwafutilia maisha yao nikuact
Mmmh
 
Tujiuze wapi kwanani mnadhani kila mtu anawaza kuliwa na malala haoi kanyie kunawadada kama sisi tunajituma nakila tulichonacho wanaume hawawezi kutununua hata waje na nini so usituweke pamoja nahao mnao wapa elfu kumi halafu mnajiona nikwakila mdada .
Dhamani yangu ndio maisha yangu.
Umenielewa naukome nahao magroup ya wenzio kunichanganya na vimada vyenu .
Mmenielewa maisha ni mwangu sijawahi uza k yangu kwamaana nasubiria mwanaume aje anioe kistaarabu so kama humu ndani kuna list ya wapumbavu wanaona wanawake ni wakujiuza kisa vihela vya mikopo mtukome na vinguo vya misaada na vigari vya mikopo na uchokaji wa maisha wenu.
Msituletee sisi .
Kazoeni hadhi zenu.
wewe ni mdangaji.......hakuna mwanaume atakaye lipa zaidi ya elf 20 sababu una mashine mbovu ,nakujua vizuri..
 
Mkuu bora umelizungumzia hili, ila naomba turudi pia upande wa pili wale wadada wanaochukuaga wanaume kwa malipo tunaomba waongeze dau, huwa tunatumia pesa gym kila mwezi, msosi wa kutosha na nguvu nyingi wakati wa hayo masuala, six pack haziji kama mujiza, ongezeni dau!!
 
Kwani ni nyie wanaume wenye uwezo wa kutafuta hela wanawake hawawezi?mbona mnapenda kujifanya kuwa mnaombwa sana hela? Kwani wanawake hawana hela?
Kama mna hela mbona mnakua omba omba(wengi wenu)
 
Back
Top Bottom