witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Usipoomba hupewi[emoji23] [emoji23]Mmezid ubahili wanaume acha muombwe tu hakuna namna
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usipoomba hupewi[emoji23] [emoji23]Mmezid ubahili wanaume acha muombwe tu hakuna namna
Hapana hiyo ni afterthought tu mkuuUmeshamla?
Unajidai
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mie mwanzoni alinipa shida ila baadae nikajikuta namuelewa.
katoto kazuri usije na povu basi mdogo wangu. [emoji12][emoji12]
Ulienda arusha ukata mwanaume jana nikaona uzi upo mwanza unataka mwanaume...halafu unataka kuolewa JF?
Uchi huo huo mmoja?!
Huoni?Najidai nn sasa?
Shangaa[emoji15] [emoji15] ....binafsi naiona hela ya mwanaume kama nuksi, itaniharibia deal zanguKwani ni nyie wanaume wenye uwezo wa kutafuta hela wanawake hawawezi?mbona mnapenda kujifanya kuwa mnaombwa sana hela? Kwani wanawake hawana hela?
Sio mateja ni ma gentlemen kama wewe. Sasa kama mtu anaweza omba omba mtu baki hivyo mpenzi wake hatomuomba?Lkn wenzio hapa tunazungumzia wapenzi sio mateja
Wewe unaongoza kwa kuniona mi mdangaji na hunijui unachonijulia ni hapa tu katoto kazuri basi je nikikuuliza nimekuibia mchumba nimemchuna mchumba au michepuko yako wala so kwa nini unamadai ya kuita wenzio wadangaji je wewe tukikuita jina ambalo hupendi tena kila siku siutaona humu ni pachungu.Ahaaaahaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23].... ..jf never boring
Sio mateja ni ma gentlemen kama wewe. Sasa kama mtu anaweza omba omba mtu baki hivyo mpenzi wake hatomuomba?
Kwani we ukienda unampelekea ninWaambie wamezidi ubahili, mie nilikuwa napigiwa hesabu naambiwa kutoka ubungo hadi mbezi ni 1000 kwa m/kasi na 800 hadi kibaha unatumiwa 5000 nikaona upuuzi huu na mtu ana kazi hapo ila ubahiri wa hivi mm sipendelei
😂😂😂😂😂😂 kwani na humu wamo eee?Bora konki konki arudi awape makavu na jinsi wanavyodanga siku hizi hawa wanaume....tulikuwa tumepumzishwa wanawake[emoji23] [emoji23]
Usinichoshee mtu wa kigoma wewe [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Kwahiyo unakutana na watu hawakujui wanakuomba hela
Una bahati mwenzetu
Sasa huwa husikii utamu wowote nigundua kipindi nyie mnagegedwa mawazo yapo kwenye pesa unajiuliza sijui atanitoa ngapi leo naona mpo kwenye ujasiliamali sio tena mambo ya natureElfu kumi ndio nini bora mtu atoe bure tu.
Dah utaila au utaitupa njiani.
Elfu kumi hata nauli haitoshi .
Sijadharau mnatudharau nanyie wadada aibu zenu hata kama unanjaa bora utoe bure .
Ule kwa mshikaji uombe hata kashopping.
Huoni?
Unanifurahishaga na comments zakoHuwa mnaombwa baada ya kuomba...huwezi kuombwa kama hujaomba!!!.
Hivi kwa nini mnaomba omba sana siku hizi?Elfu kumi ndio nini bora mtu atoe bure tu.
Dah utaila au utaitupa njiani.
Elfu kumi hata nauli haitoshi .
Sijadharau mnatudharau nanyie wadada aibu zenu hata kama unanjaa bora utoe bure .
Ule kwa mshikaji uombe hata kashopping.
Wewe unaongoza kwa kuniona mi mdangaji na hunijui unachonijulia ni hapa tu katoto kazuri basi je nikikuuliza nimekuibia mchumba nimemchuna mchumba au michepuko yako wala so kwa nini unamadai ya kuita wenzio wadangaji je wewe tukikuita jina ambalo hupendi tena kila siku siutaona humu ni pachungu.
Mf. Nikuite malaya tena unatoa kwa mkopo utapenda .
Mimi nimechoka nikiwa na stress zangu vimeo ambao hawana ramani wanijilinganisha na mimi isitoshe wananishusha hadhi na hawanijui msinizoe mimi sio wema sepetu najitambua nataka nini.
Kama nikuacha kukoment humu nitatafuta blogs nyingine huku kunawatu boring wanajiona kama nini
Na ukiwafutilia maisha yao nikuact
Usinichoshee mtu wa kigoma wewe [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]