Dada zetu acheni kuombaomba, mnajidhalilisha na jifunzeni kuficha njaa zenu

Dada zetu acheni kuombaomba, mnajidhalilisha na jifunzeni kuficha njaa zenu

Sio jf na nyie ni watu nyie si invisible wote humu ni majini.
Nasemea tanzania nichezewe nanani humu ni vilaza tu ndio wapo hakuna mtu kama mtu wanaume waukweli wapo nje ya nchi wenye kila kitu kama wanaume huku mmeharibika kwa madawa na uchunwaji
Hata yule aliekuahidi 60m nae ni kilaza?! Aliekuvuruga Mungu anamuona.
 
Wengi tu. Sister naomba bas jero ya soda. Au naumwa kweli nisaidie buku 2 ninunue supu huku mkononi ana sigara. Bado wanaokuja na gia za mkopo na baadae kutokomea
Sister naomba buku mbili hapo nipate lunch.
 
Sio jf na nyie ni watu nyie si invisible wote humu ni majini.
Nasemea tanzania nichezewe nanani humu ni vilaza tu ndio wapo hakuna mtu kama mtu wanaume waukweli wapo nje ya nchi wenye kila kitu kama wanaume huku mmeharibika kwa madawa na uchunwaji

Mdangaji.........wanaume wapo nje ya nchi? utato....m..bwa sana.....hata bure sitaki hiyo **** yako
 
[emoji23][emoji23]

Bora ulivyomskip...ila nimejua kucheka asubuhi hii khaa!!
Haaahaaaa...ufanyeje sasa!

Alitaka kunidondoshea jumba bovu nikala kona kali[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom