Shing Yui
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 15,168
- 38,049
Sasa hapa nitaaminije wewe ni mdada na ndio upo kwenye picha?Naomba hela dear
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hapa nitaaminije wewe ni mdada na ndio upo kwenye picha?Naomba hela dear
Mtu kutoka jf?....ana matatizo ya kisaikolojia baada ya kuachwa na mtu aliyeamini kuwa atamuoa
[emoji23] [emoji86] [emoji86]Unaongea na mimi Mkuu? [emoji15][emoji15][emoji15]
Hata yule aliekuahidi 60m nae ni kilaza?! Aliekuvuruga Mungu anamuona.Sio jf na nyie ni watu nyie si invisible wote humu ni majini.
Nasemea tanzania nichezewe nanani humu ni vilaza tu ndio wapo hakuna mtu kama mtu wanaume waukweli wapo nje ya nchi wenye kila kitu kama wanaume huku mmeharibika kwa madawa na uchunwaji
Sasa hapa nitaaminije wewe ni mdada na ndio upo kwenye picha?
Wadada wabaya wabaya haturuhusiwi kukuomba?
Ya ttcl? Nakutumia soon
Haeleweki kabisa...its like kuna kitu kibaya kafanyiwa na wanaume wa humu!...maana comments zake naonaga shutuma tu...anataka wanaume wa nje[emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jamani..kuna wakati nashindwa kumuelewa
Umeona eeh...hayuko sawa kabisa![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sijui wamemfanyaje watu wa JF
Sister naomba buku mbili hapo nipate lunch.Wengi tu. Sister naomba bas jero ya soda. Au naumwa kweli nisaidie buku 2 ninunue supu huku mkononi ana sigara. Bado wanaokuja na gia za mkopo na baadae kutokomea
Unaweza kudhani wewe ni mbaya kumbe ni mzuri sana
Kama kuna uwezekano tuonane
Sio jf na nyie ni watu nyie si invisible wote humu ni majini.
Nasemea tanzania nichezewe nanani humu ni vilaza tu ndio wapo hakuna mtu kama mtu wanaume waukweli wapo nje ya nchi wenye kila kitu kama wanaume huku mmeharibika kwa madawa na uchunwaji
😂😂😂 kama kweli vileee Mtani.Napenda sana kuombwa hela na wadada wazuri wazuri
Mdada mzuri akiniomba hela siku yangu inakuwa ya furaha sana [emoji14]
Sasa nishauri tufanyejeUkinifatilia utaamini mimi ni mdada. Siwezi kuwa dume mie loh [emoji23][emoji23][emoji23]
Haaahaaaa...ufanyeje sasa![emoji23][emoji23]
Bora ulivyomskip...ila nimejua kucheka asubuhi hii khaa!!
Mkuu usitaka dunia iharibike!Safi so nkiwa na wewe no mizinga
Yaan wanawake 50% tu wangekua na akili kama zako maisha yangekua matamu sana
Katika pita pita zangu nikaona mnatongozana na mtu
Mmeanza kutoa siri zenu za chumbani..Kazi kweli kweliwewe ni mdangaji.......hakuna mwanaume atakaye lipa zaidi ya elf 20 sababu una mashine mbovu ,nakujua vizuri..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sister naomba buku mbili hapo nipate lunch.
[emoji23][emoji23][emoji23] kama kweli vileee Mtani.