Dada zetu acheni kuombaomba, mnajidhalilisha na jifunzeni kuficha njaa zenu

Dada zetu acheni kuombaomba, mnajidhalilisha na jifunzeni kuficha njaa zenu

Aisee naona hapo hadi mate yanakutoka..Si kwa maneno hayo
Mnadharau sana ndio maana dah naona hata nimehairisha kuolewa humu ni kero .
Tu bora niolewe kwingine.
Naondoka jf nimechoka kuitwa malaya na kila mtu.
Dah hamnijui mnaniita mdangaji hadi wadada wahumu waniona mdangaji.
Ngoja nihame nchi hii niende mbali.
 
Mimi nitampa kila kitu ila na yeye lazima anipe kila kitu. ..kila kituuuuu bia ubishi. ..hata konki konki nikiitaji iwe powaaaa
Nakuona mzee wa oil chafu..Achana na hiyo michezo brother
 
Mnadharau sana ndio maana dah naona hata nimehairisha kuolewa humu ni kero .
Tu bora niolewe kwingine.
Naondoka jf nimechoka kuitwa malaya na kila mtu.
Dah hamnijui mnaniita mdangaji hadi wadada wahumu waniona mdangaji.
Ngoja nihame nchi hii niende mbali.
Usihame bana..Mimi najua wewe hudangi,unatoa ukiamua na pia huombagi hela
 
Leo ndio mwisho wakuwa jamii forum napenda kuwaaga wote kupitia uzii huu ngoja nijitoe humu kabisa siku moja kunamtu atatoa picha zangu kwania mbaya akisema huyu ni katoto kazuri nikadangaji nahuku mimi nimtu najiheshimu familia yetu niwatu wa maadili na wameshika dini.
Watu wakikudis sio poa tena ambao hawakujui so kwa herini this time it's for real.
 
Leo ndio mwisho wakuwa jamii forum napenda kuwaaga wote kupitia uzii huu ngoja nijitoe humu kabisa siku moja kunamtu atatoa picha zangu kwania mbaya akisema huyu ni katoto kazuri nikadangaji nahuku mimi nimtu najiheshimu familia yetu niwatu wa maadili na wameshika dini.
Watu wakikudis sio poa tena ambao hawakujui so kwa herini this time it's for real.
lady pitia nyuzi zako zote humu Jf halafu utapata jibu kwa nini uonekane hivyo.

Hata mimi ni mmoja wa watu ambao sijawai elewa nyizi zako mapaka comments, ila basi tu ni kuheshimiana, maana uhalisia wa mtu upo nyuma ya keyboard.

Btw, we bado ni wa muhimu kwa Jf family
 
Kama huna hela ndo utaumia,kuna kipindi nilikuwa sitaki hata kutongoza kwa sababu nipo vibaya,ila ukiwa na hela unajiamini na unakula kirahisi bila hata kuhonga maana una confidence na unaonekana tu una hela.

Sasa mtoto wa watu anatoka mbezi anakuja kibaha kwa nauli ya 15,000 uliyomtumia na humpi chochote kwanini asichukuliwe na mtu anamfuata kwa usafiri na kumrudisha kwa usafiri na kumwachia elfu kumi.

Ukiwa na hela wanawake watakuja wenyewe kwasababu bila hela hawapati care yoyote,atanuna kwa week shida zikianza utaona msg "baby nimekumiss nataka nije"
Waambie wamezidi ubahili, mie nilikuwa napigiwa hesabu naambiwa kutoka ubungo hadi mbezi ni 1000 kwa m/kasi na 800 hadi kibaha unatumiwa 5000 nikaona upuuzi huu na mtu ana kazi hapo ila ubahiri wa hivi mm sipendelei
 
Kutokana na hii hali ya Magu,,hata PM yangu nimeifunga kabxaaa🤚🏽🤚🏽
Kwasbb siku izi kosa ukikutana na dem ukamsalimia tu,!!atakujibu “Ooh mimi sijambo jamani vipi wewe,unajiskiaje,,halaf jamani nakuona umependeezaa eenhh!!”
Hapo ndio nashindwa kuelewa mie!!!kweli Magu katunyoosha
Unaweza kufananishwa hadi na christian ronaldo au Ozil[emoji1321]‍♂️
 
Back
Top Bottom