Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Hii ndio utaratibu, kwa tunaotambua thamani yenu.Hahaaaa. Hapana siombi huwa napewa tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ndio utaratibu, kwa tunaotambua thamani yenu.Hahaaaa. Hapana siombi huwa napewa tu.
Mmmh. 😳😳😳😳Mnadharau sana ndio maana dah naona hata nimehairisha kuolewa humu ni kero .
Tu bora niolewe kwingine.
Naondoka jf nimechoka kuitwa malaya na kila mtu.
Dah hamnijui mnaniita mdangaji hadi wadada wahumu waniona mdangaji.
Ngoja nihame nchi hii niende mbali.
Dada andika Tanzania sio tanzania,kuwa mzalendo eti acha dharau piaWanakera kuna vijidudu watu humu wanadhani wenzao wao nihali ya chinii hata maji hawawezi nunua .
Yaani ukicomment ukisema chochote wewe ni mdangaji eh hivi tanzania nani anataka kuolewa humu watu wanataka kuolewa nje eti wapate air fresh sio humu tokea uzaliwe unaishi tu humu
Mbarikiwage tu jamaani wale wote mnaotambua thamani yetu.Hii ndio utaratibu, kwa tunaotambua thamani yenu.
Ni namna mwanamke atakavyojielewa, asipapatike.Mbarikiwage tu jamaani wale wote mnaotambua thamani yetu.
Sababu mpo 10 katika 100.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] duhMwanamke anaweza akawa na number 200 za wanaume kwenye simu yake.. na kila mmojae akamuomba buku ya vocha assume 50 wakasema hawana 150 wakakubali 150x1,000= 150,000 kwa siku assume anaomba mara tatu kwa week 150,00x3=450,000 kwa week...
Wanaume tuzinduke
Kila siku unasema unaondoka JF lakini huondoki.Mnadharau sana ndio maana dah naona hata nimehairisha kuolewa humu ni kero .
Tu bora niolewe kwingine.
Naondoka jf nimechoka kuitwa malaya na kila mtu.
Dah hamnijui mnaniita mdangaji hadi wadada wahumu waniona mdangaji.
Ngoja nihame nchi hii niende mbali.
Sasa ulitaka upewe 100,000 wakati nauli ni 1,800/-?Waambie wamezidi ubahili, mie nilikuwa napigiwa hesabu naambiwa kutoka ubungo hadi mbezi ni 1000 kwa m/kasi na 800 hadi kibaha unatumiwa 5000 nikaona upuuzi huu na mtu ana kazi hapo ila ubahiri wa hivi mm sipendelei
Na kweli Mtoto. Mzima lakini?Ni namna mwanamke atakavyojielewa, asipapatike.
Niko poa, sijui wewe na yule mdogo wako wa kikeNa kweli Mtoto. Mzima lakini?
bora hata uone me ananipaga maswali sanaMmmh. 😳😳😳😳
Mnadharau sana ndio maana dah naona hata nimehairisha kuolewa humu ni kero .
Tu bora niolewe kwingine.
Naondoka jf nimechoka kuitwa malaya na kila mtu.
Dah hamnijui mnaniita mdangaji hadi wadada wahumu waniona mdangaji.
Ngoja nihame nchi hii niende mbali.
Leo ndio mwisho wakuwa jamii forum napenda kuwaaga wote kupitia uzii huu ngoja nijitoe humu kabisa siku moja kunamtu atatoa picha zangu kwania mbaya akisema huyu ni katoto kazuri nikadangaji nahuku mimi nimtu najiheshimu familia yetu niwatu wa maadili na wameshika dini.
Watu wakikudis sio poa tena ambao hawakujui so kwa herini this time it's for real.
Hahahahh mambo ya humu dada akee acha tu yanafurahisha eti unaombwa elf 3400Hahaaaa. Hatari sana Dada
Ukiniomba sikupiMmezid ubahili wanaume acha muombwe tu hakuna namna
Hahahahaaa. Nimecheka kama mjinga hapa lol.Niko poa, sijui wewe na yule mdogo wako wa kike
Ni pm kabisa namba yake nimeipotozaHahahahaaa. Nimecheka kama mjinga hapa lol.
Hatujambo sote.
Tujiuze wapi kwanani mnadhani kila mtu anawaza kuliwa na malala haoi kanyie kunawadada kama sisi tunajituma nakila tulichonacho wanaume hawawezi kutununua hata waje na nini so usituweke pamoja nahao mnao wapa elfu kumi halafu mnajiona nikwakila mdada .
Dhamani yangu ndio maisha yangu.
Umenielewa naukome nahao magroup ya wenzio kunichanganya na vimada vyenu .
Mmenielewa maisha ni mwangu sijawahi uza k yangu kwamaana nasubiria mwanaume aje anioe kistaarabu so kama humu ndani kuna list ya wapumbavu wanaona wanawake ni wakujiuza kisa vihela vya mikopo mtukome na vinguo vya misaada na vigari vya mikopo na uchokaji wa maisha wenu.
Msituletee sisi .
Kazoeni hadhi zenu.