Dada zetu acheni kuombaomba, mnajidhalilisha na jifunzeni kuficha njaa zenu

Dada zetu acheni kuombaomba, mnajidhalilisha na jifunzeni kuficha njaa zenu

Kwani ni nyie wanaume wenye uwezo wa kutafuta hela wanawake hawawezi?mbona mnapenda kujifanya kuwa mnaombwa sana hela? Kwani wanawake hawana hela?


Ungekuwa mwanaume, ungekutana na mambo aliyoongelea mtoa mada, unamtongoza mdada unaombwa hela kila mara, na papuchi hupewi..mbaya zaidi hata company ya maana hupewi akidai yupo busy... Unampa attention, pesa na muda and in return she offers you absolutely NOTHING NAHUJA
 
Kwani ni nyie wanaume wenye uwezo wa kutafuta hela wanawake hawawezi?mbona mnapenda kujifanya kuwa mnaombwa sana hela? Kwani wanawake hawana hela?
Mapovu.com, relax mama..Tunajua kuna wanawake wanajielewa kama wewe. Ila kuna hilo kundi la pili ni shidaaaaaa
 
Leo ndio mwisho wakuwa jamii forum napenda kuwaaga wote kupitia uzii huu ngoja nijitoe humu kabisa siku moja kunamtu atatoa picha zangu kwania mbaya akisema huyu ni katoto kazuri nikadangaji nahuku mimi nimtu najiheshimu familia yetu niwatu wa maadili na wameshika dini.
Watu wakikudis sio poa tena ambao hawakujui so kwa herini this time it's for real.
Usimaind sana katoto ka beauty
 
Waambie wamezidi ubahili, mie nilikuwa napigiwa hesabu naambiwa kutoka ubungo hadi mbezi ni 1000 kwa m/kasi na 800 hadi kibaha unatumiwa 5000 nikaona upuuzi huu na mtu ana kazi hapo ila ubahiri wa hivi mm sipendelei
Kazi sio tija kama ni Guard wa benki mshahara 350,000 anawezaje gharama zote hizo
 
Haha me bado kabisa sjamwelewa nahisi sjui kama ntakuja mwelewa
Hahahaaa. Ila kama mie huwa namuwekaga upande wa ile Id yake basi najikuta najijibu mwenyewe tu kwamba hajamature bado hivyo utoto nao sometimes huwa ni tatizo.
 
Ndo maana huwa tunapiga na kuacha mkuu. Nikiona mdada ananililia njaa nakula papuchi mara 1 tu then napita hivi [emoji117]

Wanaume tunajua kuwa wanawake wana mahitaji ila wanapoamua kutufanya saccos na sisi tunawageuza "one-touch"
 
Mwanamke wa bure ni mama ako mzazi na dada zako pekee.hao wengine kama haujajipanga utalizwa kila siku
 
Waambie wamezidi ubahili, mie nilikuwa napigiwa hesabu naambiwa kutoka ubungo hadi mbezi ni 1000 kwa m/kasi na 800 hadi kibaha unatumiwa 5000 nikaona upuuzi huu na mtu ana kazi hapo ila ubahiri wa hivi mm sipendelei
Halafu unakuta za bia zipo.
Mapenzi ni matamu ila hela ikiwepo ni matamu zaidi
 
Tujiuze wapi kwanani mnadhani kila mtu anawaza kuliwa na malala haoi kanyie kunawadada kama sisi tunajituma nakila tulichonacho wanaume hawawezi kutununua hata waje na nini so usituweke pamoja nahao mnao wapa elfu kumi halafu mnajiona nikwakila mdada .
Dhamani yangu ndio maisha yangu.
Umenielewa naukome nahao magroup ya wenzio kunichanganya na vimada vyenu .
Mmenielewa maisha ni mwangu sijawahi uza k yangu kwamaana nasubiria mwanaume aje anioe kistaarabu so kama humu ndani kuna list ya wapumbavu wanaona wanawake ni wakujiuza kisa vihela vya mikopo mtukome na vinguo vya misaada na vigari vya mikopo na uchokaji wa maisha wenu.
Msituletee sisi .
Kazoeni hadhi zenu.
Hili povu limekaa kinjaa njaa sana. Umepata breakfast asubuhi hii?
 
Mara mbili kwa wiki bora na hao. Kuna ambao kila siku wana matatizo. Nauli vocha, chakula.. ndio michezo yao ipo hapo. Mwanamke anadanga masaa 24.
Nilipata wa hivyo nikampiga chini mapema sana maana tabia chafu kama hizo sizipend kabisa..
Hahahah Tabia chafu kweli yani mbovu kabisa
 
Back
Top Bottom