Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,394
- 59,069
Abadilike kwakweliKibaya nikusingizie na kuna mahali uliniona nakusema??? Tafadhali usinibandike mizigo yangu mwenyewe siiwez natafta wa kumtwisha,jaribu kubadilika katoto sawa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Abadilike kwakweliKibaya nikusingizie na kuna mahali uliniona nakusema??? Tafadhali usinibandike mizigo yangu mwenyewe siiwez natafta wa kumtwisha,jaribu kubadilika katoto sawa?
Sitaki ndoa zenu.Wakukuoa naye utamtoa wapi? Sikuizi hatuoi tunakula nakusepaaaa
Sio mzima huyu kweli....tatizo hasira zake anaturushia sisi can u imagine![emoji23][emoji23][emoji23]
Mgonjwa huyo
Poa poa wangu....nimekuelewa!Achana naye wit. Usikubali mtu akupumzikie. Muache aandike akichoka ataacha.
niliwah kumwamabia na jina abadiliAbadilike kwakweli
Okay..Kugharamia hatujakataa ila ni vyema kukubaliana tu kama tunauziana ili kila mtu aridhike. Mambo ya kuombana siuji vocha, sijui hela ya pedi iingizeni kwenye invoice ambayo tunakubalianaUtoe jasho kumla means ugharamie
[emoji23] [emoji23] [emoji23] haaahaaaa....huyu ni mama wa threesome[emoji23] [emoji23]Umegeuka kwangu ??
Kama unayo ungemwambia nakukopesha na sema siku gani utarudisha na sitegemei kupata chochote kwako zaida ya pesa zangu,ule msemo wa kihenga eti mwanamke adaiwi ubaki na wahenga.Jumamos iliyopita nlikua nko maskan nmetulia napiga stor na washkaj mara simu yngu ikaita, kuichek ni mrembo mmoja wa kitambo ambaye kwa bahat mbaya nlikua kwenye mahusiano nae ila ckula "ngumosi" anaitwa fety. Kupokea ananichangamkia kwa bashasha choupa za masiku nkamwambia poa, naweza kukuona leo nkamuuliza kuna nini akasema tu ana maongez fulani na mimi. Nkamwambia poa bas jion nkirud home njoo. Bas around saa 2 naskia sms kwamba nko nje ya geti bas kwenda kumchek ni yeye nkawa najiuliza huyu ana nini leo. Bas stor mbili tatu akaniambia ana shida ya laki 2 nkamwangaliaaaa halaf sikummaliza nkamwambia hii ni option ya ngap kunitafuta mimi akabak anajiuma uma tu pumbav zake. Nkamwambia sina hela labda uombe wengne. Ebo
Sawa Dear...nimekuelewa![emoji120] [emoji120]
Naisubiria. Ila mimi sio mpenzi wa iphone kama wewe na pia sipendi tecno [emoji6][emoji6][emoji6]Nakununulia simu kbs
Asamehewe bure..Sio mzima huyu kweli....tatizo hasira zake anaturushia sisi can u imagine!
Na tumemshauri tu vizuri, eti kaja na povuuu!
Wewe ulisema nipunguze utoto nimekuwa nasasa nahitaji heshima mtu akikoment awe kama wewe shida iko wapi ?Kibaya nikusingizie na kuna mahali uliniona nakusema??? Tafadhali usinibandike mizigo yangu mwenyewe siiwez natafta wa kumtwisha,jaribu kubadilika katoto sawa?
[emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] haaahaaaa....huyu ni mama wa threesome[emoji23] [emoji23]
Naisubiria. Ila mimi sio mpenzi wa iphone kama wewe na pia sipendi tecno [emoji6][emoji6][emoji6]
tuelezeWewe witney nimekuvumilia sana unamadharau na huku na wewe ni mlala hoi humu hakuna mtu wakunifanya niishi kama siko duniani wewe ni mmoja wa wawanawake wanaojisikia nahuna lolote kifupi umeajiriwa naunauwakika wa kurenew mkataba kisa wewe unajua kutoa utamu so sikushangai ukijiamini.
Who are you wewe ni wale wanawake ambao k ndio unaitumia kwa kila kitu ukiona fulsa inajitokeza unatoa k kama kipaumbele wewe sikujui kama nidada angu au mdogo wangu ila najua nimwanamke unayetishia jamii forum tu ila nje ya hapo huwezi kutishia mtu kwa maana wanakujua your wost than anyone.
Ukiona hata shemeji yako wewe unapitia tu .
Ukiona mtu anakahela unahakikisha ni wako yaani hakuna kitu ambacho hukipitii so mimi nimenyamaza sana unajua kukaa humu nakusema wenzako na huku wewe huna hata hiyo hadhi hata kama umezidi nini wenzako acha unafiki uende mji mwema kwa maana kuna usemi huu kusoma sio kufika bali kujitambua nakutovuka mpaka ndio heshima nautaishi vizuri kama utakuwa sio mnafiki .
Wewe ni wale wadada ambao mnacheka nao sasaivi na baadae akiondoka yule unakuja kumcheka yule nakumsema yule .
Unavimafumbo ambavyo hadi kazini wanakuchoka kisa ya hivyo.
Unamadharau sana kama nini wewe ni wale wadada ambao unataka uonekane upo juu unajitambua wanaume nawanajamii wakuone bonge la toto kiufupi sijawahi ona mshamba kam wewe.
So kama ni bifu nimeanzisha kama unawapambe waje tu mbona nipo nawala sintowajibu kwa maana tumewazoea ni wachovu ndio wanahangaikaga.
My dear labda ni wewe mwenyewe unavyojiexpress humu!Kila siku nasema true yaani unaongea vizuri later unanipa madongo kama nini ndio nataka kujua why zamani nilikuwa sitaki kurudia mitihani so na nyamaza now nipo free nataka kujua why uko hivi.
Nikianza kukupa tutakesha ni nyingi comment wewe jua hujawahi kuongea jema lolote nani kamuambia nimepata mzungu .
Ukweli naujua mi mwenyewe ndio maana sitaki tena ni pewe maneno y karaha humu mimi nimtu mzima sasa nahitaji respect
Watakua wamem konki konki konki..Watu wa JF sio wazuri kabisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sijui wamemfanyaje watu wa JF
Ni yuleee....umekumbuka sasa?![emoji23] [emoji23] [emoji85] [emoji85]Amehamia kwangu
Wewe ulisema nipunguze utoto nimekuwa nasasa nahitaji heshima mtu akikoment awe kama wewe shida iko wapi ?
Unakuta mtu ni mwanaume ana 40 years old anamtukana mtu 20 something kama kauwa mtu kwanini wasiwe wapole .
Mimi nimtu mzima sasa nakweli nahitaji respect.
Galaxy j8 [emoji125] [emoji125] [emoji125]Kabla sijaja niambie unayotaka