katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,124
- 5,745
Eh ila wala sijajali couze unayatoa motoni yasikupe presha ila mimi sipendi watu wanaosema watu vibaya ndio maana nawajibu vibaya siku zote ukimjibu mtu vyema utajibiwa vyema.My dear labda ni wewe mwenyewe unavyojiexpress humu!
Kuna wanaume wamekupa madongo sana tu humu coz huwa unawatukana! Halafu una tabia ya kuattack watu from nowhere hebu jichunguze vizuri....badilika my! Hebu jaribu kuwa positive!
Nikikuuliza swali mi umenitukania nini? Kwenye huu uzi kuna mahali nilikutukana?
Haaahaaaa aseee[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kwa sababu ya kutoheshimu mtu eti achana naye huyo ni hamnazo wewe unazo kwa hiyo unajua mtu mnamuona waaina fulani kisa nyie mnajua nini dada acha dharau ipo siku dharau hiyo itakubebesha msalaba usioweza kuutuwa kisa unamadharau sijakosa mume mtaani ujue .
So usidhani humu ndio nimehamia wachumba zenu humu wapo tu sina time now.
[emoji23][emoji23]Haaahaaaa....mgazeti wa mwananchi[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Heshima waanze wao ukitaka kwenda kupumzika unakuta mtu amekukera kwa jambo fulani.
Lazima umjie juu watu now tumekuwa hatuwazi jamii forum tena .
Watu wanawaza maisha watayafanyaje unajua humu watu wengi wameiona jf nisehemu yakipekee.
Nope jf ni mahali kama facebook instagram na zingine so muwe na amani dah mnapaogopa eti wanaume watawaonaje au watu ukiogopa watu watakunyea kama nini.
Ishi kama wewe unavyotaka kuishi.
Napita Njia.
Mbarikiwe nyote.
Yaaaani...narudia tena still namuonea huruma mwanamke mwenzangu!Jana alinijibu kitu sikukielewa nikahisi nna usingizi, nilivyoamka nikarudia kukisoma bado sikuelewa anamaanisha nini. Stress mbaya sana asiee
[emoji23][emoji23][emoji23]Haaahaaaa aseee[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ewaaa...yy anahisi eti tunamchukia, sijui tuna mabwana atatuchukulia humu, mara tunamdharau yaani!....ni ana mawazo ya unegative tu kichwani mwake!halafu mtu anapokuambia madhaifu yako au makosa yako faham anakupenda anataka ubadilike mwenzetu haelewi hivo
Marvellous advice!.... Asipoelewa na hapa basi tena!Heshima haiji bure kama wewe mwenyewe haujaitengeneza
Jifunze kubadilika..jifunze kupokea Yale uambiwayo na kuyahifadhi mazuri yatakayokusaidia na mabaya achana nayo
Usiwe na tabia ya kuchukulia mambo seriously humu
Utaongeza presha na mwisho wako huenda ukawa sio mzuri
Badilika na utaona jf ni mahala pazuri pa kufurahia na sio kupovuka ovyo
BADILIKA Mwanamke mzuri
Wa dizaini hii yako nitamhunga hadi shamba la urithi ila akianza kuleta vigisu vigusu ni kusepa tu hamna namna .[emoji23] [emoji111]Hela tu kuna wengine wanakuomba hela na bado geto anakuja kupika na bado anakula mkilalana anakupa mambo mmpaka unakimbia umuiti tena.
Ntarudi baadae.Ukuje hapa unaenda wapi
Huyo huyo shougar....cheki btn the lines vichambo vyake kwangu, unganisha na siku ilee Uzi mrefu utagundua kitu!Nimemkumbuka
[emoji23][emoji23]
Nimebadilika my hujui tuNikusahihishe, usifananishe jf na fb hata mara mbili, ever since nimekua humu najihisi kudevelop busara mara mbili, imenifanya nijue mambo kibao ninekua na uelew mpana sana yote ni jf kikubwa zaidi s unajua na ba mjengo nimempata humu?? So ipe jf heshima yake usiifananishe na fb kabisa
Shida moja utagombana na wangapi kama kila mtu wamjia juu, jaribu kutake it easy kila jambo lichukulie kwa namba ya kujenga sio kubomoa, of course katoto mi naishi maisha yangu na vile naamini humu na hua nachangia according to me sasa na wewe UBADILIKE.
Haaahaaaa.....katoto kazuri kakataza haya mambo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji79] [emoji125] [emoji125]Ila wity kwa hilo ta...ko ukiniomba hela nakupa tu. Ila andika vitu vyooote kwenye invoice moja hahahahaaaa
NitamsalimiaNtarudi baadae.
Si unajua leo ni Friday.
Nsalimie na wite J.
Yuko na wewe bado[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125]Ngoja tuone
Jomoni karibuuu[emoji23] [emoji23]Napita Njia.
Mbarikiwe nyote.
Mimi napendaga hao wanaoomba straight baada ya kubadilishana namba,nakula nasepa,lakini ka nakupenda ntakushangaa na lazima nijiulize vimaswali kichwani.Kama mnavyoomba na sisi tunaomba. Ila kuomba baada ya kupewa namba ni jambo la ajabu na la kipekee lazima uso uvae sura ya mbuzi au uwe kauzu kama dagaa
[emoji23][emoji23][emoji23]Huyo huyo shougar....cheki btn the lines vichambo vyake kwangu, unganisha na siku ilee Uzi mrefu utagundua kitu!
Haaahaaaa....yaan nimecheka kinoma!
Ahsante.Jomoni karibuuu[emoji23] [emoji23]