Dada zetu acheni kuombaomba, mnajidhalilisha na jifunzeni kuficha njaa zenu

Dada zetu acheni kuombaomba, mnajidhalilisha na jifunzeni kuficha njaa zenu

My dear labda ni wewe mwenyewe unavyojiexpress humu!

Kuna wanaume wamekupa madongo sana tu humu coz huwa unawatukana! Halafu una tabia ya kuattack watu from nowhere hebu jichunguze vizuri....badilika my! Hebu jaribu kuwa positive!

Nikikuuliza swali mi umenitukania nini? Kwenye huu uzi kuna mahali nilikutukana?
Eh ila wala sijajali couze unayatoa motoni yasikupe presha ila mimi sipendi watu wanaosema watu vibaya ndio maana nawajibu vibaya siku zote ukimjibu mtu vyema utajibiwa vyema.
 
Kwa sababu ya kutoheshimu mtu eti achana naye huyo ni hamnazo wewe unazo kwa hiyo unajua mtu mnamuona waaina fulani kisa nyie mnajua nini dada acha dharau ipo siku dharau hiyo itakubebesha msalaba usioweza kuutuwa kisa unamadharau sijakosa mume mtaani ujue .
So usidhani humu ndio nimehamia wachumba zenu humu wapo tu sina time now.
Haaahaaaa aseee[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Nikusahihishe, usifananishe jf na fb hata mara mbili, ever since nimekua humu najihisi kudevelop busara mara mbili, imenifanya nijue mambo kibao ninekua na uelew mpana sana yote ni jf kikubwa zaidi s unajua na ba mjengo nimempata humu?? So ipe jf heshima yake usiifananishe na fb kabisa

Shida moja utagombana na wangapi kama kila mtu wamjia juu, jaribu kutake it easy kila jambo lichukulie kwa namba ya kujenga sio kubomoa, of course katoto mi naishi maisha yangu na vile naamini humu na hua nachangia according to me sasa na wewe UBADILIKE.
Heshima waanze wao ukitaka kwenda kupumzika unakuta mtu amekukera kwa jambo fulani.
Lazima umjie juu watu now tumekuwa hatuwazi jamii forum tena .
Watu wanawaza maisha watayafanyaje unajua humu watu wengi wameiona jf nisehemu yakipekee.
Nope jf ni mahali kama facebook instagram na zingine so muwe na amani dah mnapaogopa eti wanaume watawaonaje au watu ukiogopa watu watakunyea kama nini.
Ishi kama wewe unavyotaka kuishi.
 
halafu mtu anapokuambia madhaifu yako au makosa yako faham anakupenda anataka ubadilike mwenzetu haelewi hivo
Ewaaa...yy anahisi eti tunamchukia, sijui tuna mabwana atatuchukulia humu, mara tunamdharau yaani!....ni ana mawazo ya unegative tu kichwani mwake!

Aliyemtenda Mungu anamuona!
 
Heshima haiji bure kama wewe mwenyewe haujaitengeneza

Jifunze kubadilika..jifunze kupokea Yale uambiwayo na kuyahifadhi mazuri yatakayokusaidia na mabaya achana nayo

Usiwe na tabia ya kuchukulia mambo seriously humu

Utaongeza presha na mwisho wako huenda ukawa sio mzuri

Badilika na utaona jf ni mahala pazuri pa kufurahia na sio kupovuka ovyo


BADILIKA Mwanamke mzuri
Marvellous advice!.... Asipoelewa na hapa basi tena!

Shetwain anampenda zaidi!
 
Hela tu kuna wengine wanakuomba hela na bado geto anakuja kupika na bado anakula mkilalana anakupa mambo mmpaka unakimbia umuiti tena.
Wa dizaini hii yako nitamhunga hadi shamba la urithi ila akianza kuleta vigisu vigusu ni kusepa tu hamna namna .[emoji23] [emoji111]
 
Nikusahihishe, usifananishe jf na fb hata mara mbili, ever since nimekua humu najihisi kudevelop busara mara mbili, imenifanya nijue mambo kibao ninekua na uelew mpana sana yote ni jf kikubwa zaidi s unajua na ba mjengo nimempata humu?? So ipe jf heshima yake usiifananishe na fb kabisa

Shida moja utagombana na wangapi kama kila mtu wamjia juu, jaribu kutake it easy kila jambo lichukulie kwa namba ya kujenga sio kubomoa, of course katoto mi naishi maisha yangu na vile naamini humu na hua nachangia according to me sasa na wewe UBADILIKE.
Nimebadilika my hujui tu
 
Kama mnavyoomba na sisi tunaomba. Ila kuomba baada ya kupewa namba ni jambo la ajabu na la kipekee lazima uso uvae sura ya mbuzi au uwe kauzu kama dagaa
Mimi napendaga hao wanaoomba straight baada ya kubadilishana namba,nakula nasepa,lakini ka nakupenda ntakushangaa na lazima nijiulize vimaswali kichwani.
 
Huyo huyo shougar....cheki btn the lines vichambo vyake kwangu, unganisha na siku ilee Uzi mrefu utagundua kitu!


Haaahaaaa....yaan nimecheka kinoma!
[emoji23][emoji23][emoji23]

Nimeunganisha dot nimepata jibu sahihi

Anafurahisha sana wallaah tena
 
Back
Top Bottom