[emoji23][emoji23]Kanyang'anywa chezea JF...sasa kila akipiga mahesabu anahisi Wit ndo kamchukua! Mara Madam S labda or Yna2 labda ndo anae....shughuli anayo halooo
Kaswali kwanza urudi....nina mengiAhsante.
Hatuonani unanipitia pembeni pembeni mungu anakuona kwa unachokifanya[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Haaahaaaa....uwiiiKatoto kazuri anaandika vitu ambavyo yeye mwenyewe havielewi.. Naamini hata kama amekataza inawezekana hakuelewa kama kakataza, sisi tuendelee na yetu
Sawa ue na mchana mwema.
Bye[emoji4] [emoji4] .
Usijali my dear.Haaahaaa[emoji23] [emoji23]
Amory uswali halafu urudi hapa nakuhitaji[emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] nisemeje sasa...mwanamke kisirani kama niniHahahahaa eti aliemtenda Mungu anamuona hahahhaha nimecheka sana
Ungempa mdau... Katoka mbali kote huko halafu umembaniaJumamos iliyopita nlikua nko maskan nmetulia napiga stor na washkaj mara simu yngu ikaita, kuichek ni mrembo mmoja wa kitambo ambaye kwa bahat mbaya nlikua kwenye mahusiano nae ila ckula "ngumosi" anaitwa fety. Kupokea ananichangamkia kwa bashasha choupa za masiku nkamwambia poa, naweza kukuona leo nkamuuliza kuna nini akasema tu ana maongez fulani na mimi. Nkamwambia poa bas jion nkirud home njoo. Bas around saa 2 naskia sms kwamba nko nje ya geti bas kwenda kumchek ni yeye nkawa najiuliza huyu ana nini leo. Bas stor mbili tatu akaniambia ana shida ya laki 2 nkamwangaliaaaa halaf sikummaliza nkamwambia hii ni option ya ngap kunitafuta mimi akabak anajiuma uma tu pumbav zake. Nkamwambia sina hela labda uombe wengne. Ebo
Umecheka nini muone[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahahah.....
Galasa lake liko humu linamcheka hataree, kwa jinsi anavyoweweseka!Yani huyu jamani...hana tofauti na debe lenye kokoto
Asituchukie bana..apambane tu na mwizi wa galasa lake
[emoji23][emoji23][emoji23]
hatarThread closed then...
HaaahaaaaPeleka ujinga huko tena ww utaolewa kule namtumbo mwanamke gan unadharau hivii.... Aaaaarrrggghhh
Hatari gani Rehema??hatar
Mkuu nadhani mada hujaielewa.. Hembu soma tena mstari kwa mstariSasa wewe ulitaka mtoto wa watu apate wapi mahitaji yake kama hivyo?!
Mtoto wa kike kaumbiwa kupewa na mwanaume, anaweza kuwa ni baba yake, kaka yake, rafiki yake wa kiume na muhimu na kubwa zaidi ni kupewa na mume wake.....
Sasa wewe unataka tu mzigo halafu hautaki kutoa mahitaji brother, si ungepiga punyeto basi uone umuhimu wake....?!
Acha uoga nyie ndio mnadhalilisha kambi ya kiumeni miaka hii, ni mwiko kwa mwanaume kulalamika kumtunza mtoto wa kike kama mpo katika mahusiano.
Sasa buku jero au 3000 inakuwaje ngumu kutoa kwajiri ya mtu anayekubali kukusikiliza unachotaka kwake........
Na kwann utumie dada wa mwenzako kisha umtupe, si umuweke ndani uoe kabisa umtunze kiuhalali na pale ukikosa fanya kumuelekeza atakuelewa....
Kuna demu mmoja nilimkata mara 2 tu lakini kila ikipigwa simu au meseji yake lazima iwe na neno la kuomba hela dadeki