Dada zetu acheni kuombaomba, mnajidhalilisha na jifunzeni kuficha njaa zenu

Kanyang'anywa chezea JF...sasa kila akipiga mahesabu anahisi Wit ndo kamchukua! Mara Madam S labda or Yna2 labda ndo anae....shughuli anayo halooo
[emoji23][emoji23]

Anawakati mgumu sana

Hadi stress ziishe atakua kavamia wengi humu

Atulize tu akili na kuandika vya maana labda wanaume wa jf wanaweza mstiri mwanamke mwezetu
 
Ungempa mdau... Katoka mbali kote huko halafu umembania
 
Yani huyu jamani...hana tofauti na debe lenye kokoto

Asituchukie bana..apambane tu na mwizi wa galasa lake


[emoji23][emoji23][emoji23]
Galasa lake liko humu linamcheka hataree, kwa jinsi anavyoweweseka!

Ukiwa na mwanaume humu inabidi ukaze roho ati[emoji23] [emoji23]
 
Mkuu nadhani mada hujaielewa.. Hembu soma tena mstari kwa mstari
 
Ndo wanawake wa sikuhizi na usipo mpa qkipata anae MPA jua ndo kwaheri...na kama unamkakua fresh kwenye bed basi jua atakua na danga kwajili ya pesa na wewe kwajiri ya kumfikisha kileleni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…