Dada zetu acheni kuombaomba, mnajidhalilisha na jifunzeni kuficha njaa zenu

Dada zetu acheni kuombaomba, mnajidhalilisha na jifunzeni kuficha njaa zenu

Kanyang'anywa chezea JF...sasa kila akipiga mahesabu anahisi Wit ndo kamchukua! Mara Madam S labda or Yna2 labda ndo anae....shughuli anayo halooo
[emoji23][emoji23]

Anawakati mgumu sana

Hadi stress ziishe atakua kavamia wengi humu

Atulize tu akili na kuandika vya maana labda wanaume wa jf wanaweza mstiri mwanamke mwezetu
 
Jumamos iliyopita nlikua nko maskan nmetulia napiga stor na washkaj mara simu yngu ikaita, kuichek ni mrembo mmoja wa kitambo ambaye kwa bahat mbaya nlikua kwenye mahusiano nae ila ckula "ngumosi" anaitwa fety. Kupokea ananichangamkia kwa bashasha choupa za masiku nkamwambia poa, naweza kukuona leo nkamuuliza kuna nini akasema tu ana maongez fulani na mimi. Nkamwambia poa bas jion nkirud home njoo. Bas around saa 2 naskia sms kwamba nko nje ya geti bas kwenda kumchek ni yeye nkawa najiuliza huyu ana nini leo. Bas stor mbili tatu akaniambia ana shida ya laki 2 nkamwangaliaaaa halaf sikummaliza nkamwambia hii ni option ya ngap kunitafuta mimi akabak anajiuma uma tu pumbav zake. Nkamwambia sina hela labda uombe wengne. Ebo
Ungempa mdau... Katoka mbali kote huko halafu umembania
 
Yani huyu jamani...hana tofauti na debe lenye kokoto

Asituchukie bana..apambane tu na mwizi wa galasa lake


[emoji23][emoji23][emoji23]
Galasa lake liko humu linamcheka hataree, kwa jinsi anavyoweweseka!

Ukiwa na mwanaume humu inabidi ukaze roho ati[emoji23] [emoji23]
 
Sasa wewe ulitaka mtoto wa watu apate wapi mahitaji yake kama hivyo?!

Mtoto wa kike kaumbiwa kupewa na mwanaume, anaweza kuwa ni baba yake, kaka yake, rafiki yake wa kiume na muhimu na kubwa zaidi ni kupewa na mume wake.....

Sasa wewe unataka tu mzigo halafu hautaki kutoa mahitaji brother, si ungepiga punyeto basi uone umuhimu wake....?!

Acha uoga nyie ndio mnadhalilisha kambi ya kiumeni miaka hii, ni mwiko kwa mwanaume kulalamika kumtunza mtoto wa kike kama mpo katika mahusiano.

Sasa buku jero au 3000 inakuwaje ngumu kutoa kwajiri ya mtu anayekubali kukusikiliza unachotaka kwake........

Na kwann utumie dada wa mwenzako kisha umtupe, si umuweke ndani uoe kabisa umtunze kiuhalali na pale ukikosa fanya kumuelekeza atakuelewa....
Mkuu nadhani mada hujaielewa.. Hembu soma tena mstari kwa mstari
 
Ndo wanawake wa sikuhizi na usipo mpa qkipata anae MPA jua ndo kwaheri...na kama unamkakua fresh kwenye bed basi jua atakua na danga kwajili ya pesa na wewe kwajiri ya kumfikisha kileleni
 
Back
Top Bottom