Dada zetu acheni kuombaomba, mnajidhalilisha na jifunzeni kuficha njaa zenu

Dada zetu acheni kuombaomba, mnajidhalilisha na jifunzeni kuficha njaa zenu

Waambie wamezidi ubahili, mie nilikuwa napigiwa hesabu naambiwa kutoka ubungo hadi mbezi ni 1000 kwa m/kasi na 800 hadi kibaha unatumiwa 5000 nikaona upuuzi huu na mtu ana kazi hapo ila ubahiri wa hivi mm sipendelei
duuh huyo itakuwa anafanya kazi kwa mkaguzi wa hesabu wa taifa ".. CAG .. sio kwa ubahili huo
 
Mnadharau sana ndio maana dah naona hata nimehairisha kuolewa humu ni kero .
Tu bora niolewe kwingine.
Naondoka jf nimechoka kuitwa malaya na kila mtu.
Dah hamnijui mnaniita mdangaji hadi wadada wahumu waniona mdangaji.
Ngoja nihame nchi hii niende mbali.


Pole Sana... Mwanamke anapaswa kujiamini na maamuzi yake kama umeamua hivyo sawa jambo jema ni mojawapo ya kufind peace of mind..
 
Yeap hapo ndipo tulipo siku si nyingi tutatoka hapo tunahamia 5G...na ssa iv utaona kuna VoLTE ambapo ni upgradings za LTE kuwezesha mtu kumake calls thru internet kama ilivyo whatsp u can make calls over LTE network.


Hiyo avatar ni logo la Android 9 aka Pie... It expected to be available thru some of devices around January 2019....

Kuna lingine?
Asante kwa promo.....kunywa maji kidogo ewww!

Na usisahau angalau kuwapa jf kalaki kwa tangazo lako....
 
Wallahi vile sikuchangia. Kuna muda Shunie alinitag ila nikamute kama uzi sijauona.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] zile huwa naziita nyuzi chonganishi hazikawii kuchonganisha watu mwisho wa siku wewe uliyedandia ndio unaangukiwa na jumba bovu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uzi gani huo dada akee
 
Asante kwa promo.....kunywa maji kidogo ewww!

Na usisahau angalau kuwapa jf kalaki kwa tangazo lako....
Hahhahahahahaha sifanyi biashara best... Just tu nilitaka ujue tu uTEHAMA wangu uko api na matumiz ya hizo nakili zangu[emoji851]

Kalaki nitakaangalia kama kapo kwenye disposable income yangu[emoji23][emoji23]
 
Hahhahahahahaha sifanyi biashara best... Just tu nilitaka ujue tu uTEHAMA wangu uko api na matumiz ya hizo nakili zangu[emoji851]

Kalaki nitakaangalia kama kapo kwenye disposable income yangu[emoji23][emoji23]
Haaahaaaa haaaa....nakuelewa mkuu pamoja!
 
Mwanamke anaweza akawa na number 200 za wanaume kwenye simu yake.. na kila mmojae akamuomba buku ya vocha assume 50 wakasema hawana 150 wakakubali 150x1,000= 150,000 kwa siku assume anaomba mara tatu kwa week 150,00x3=450,000 kwa week...

Wanaume tuzinduke
Duh, namba mia mbili tu kwenye simu,au namba mia mbili za kuombea bukubuku,afu 150wakatoa,wadada msilalamike tena life is too easy.
 
Back
Top Bottom