Dada zetu acheni kuombaomba, mnajidhalilisha na jifunzeni kuficha njaa zenu

Waambie wamezidi ubahili, mie nilikuwa napigiwa hesabu naambiwa kutoka ubungo hadi mbezi ni 1000 kwa m/kasi na 800 hadi kibaha unatumiwa 5000 nikaona upuuzi huu na mtu ana kazi hapo ila ubahiri wa hivi mm sipendelei
duuh huyo itakuwa anafanya kazi kwa mkaguzi wa hesabu wa taifa ".. CAG .. sio kwa ubahili huo
 


Pole Sana... Mwanamke anapaswa kujiamini na maamuzi yake kama umeamua hivyo sawa jambo jema ni mojawapo ya kufind peace of mind..
 
Asante kwa promo.....kunywa maji kidogo ewww!

Na usisahau angalau kuwapa jf kalaki kwa tangazo lako....
 
Uzi gani huo dada akee
 
Asante kwa promo.....kunywa maji kidogo ewww!

Na usisahau angalau kuwapa jf kalaki kwa tangazo lako....
Hahhahahahahaha sifanyi biashara best... Just tu nilitaka ujue tu uTEHAMA wangu uko api na matumiz ya hizo nakili zangu[emoji851]

Kalaki nitakaangalia kama kapo kwenye disposable income yangu[emoji23][emoji23]
 
Hahhahahahahaha sifanyi biashara best... Just tu nilitaka ujue tu uTEHAMA wangu uko api na matumiz ya hizo nakili zangu[emoji851]

Kalaki nitakaangalia kama kapo kwenye disposable income yangu[emoji23][emoji23]
Haaahaaaa haaaa....nakuelewa mkuu pamoja!
 
Duh, namba mia mbili tu kwenye simu,au namba mia mbili za kuombea bukubuku,afu 150wakatoa,wadada msilalamike tena life is too easy.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…