Ukiniona usisite kupunga tafadhali[emoji2257]Kama kawa...[emoji484] [emoji484]
Mnapanga kunipa mda[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahaaa. Tumpe muda kwanza rafiki.
Cheka ndugu.
Mie najiamini mnooo. Ndio sababu baadhi ya members wananifahamu.
Hhhhh[emoji23] [emoji23] [emoji23] mnifyekelee sioAu tumfyekelee mbali[emoji23] [emoji23] [emoji28] [emoji28]
Hhhh[emoji23] [emoji23] [emoji23] bas ni fursa yangu na ya jirani yangu mtu chake kukufaham.
Hhhhhh asikimbieee unsfkiri[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kumbe aliwakimbia?[emoji28] [emoji23] [emoji23]
Sio jf na nyie ni watu nyie si invisible wote humu ni majini.
Nasemea tanzania nichezewe nanani humu ni vilaza tu ndio wapo hakuna mtu kama mtu wanaume waukweli wapo nje ya nchi wenye kila kitu kama wanaume huku mmeharibika kwa madawa na uchunwaji
Nipo si unajua pa kunipata halafu kesho nakuja pande zako kuleee umeshaelewa lakini ujue tunaongea kwa codeSalama sana.
Umeadimika.
Mkuu wanatuskia hpa na kutujadili[emoji23] [emoji23] tunajadiliwa kufyekelwa mbali.Hahahaha, Mungu atupe nn tena kingine mkuu,kwa bahati km hii
Kuna nyuzi mbili sijui ila ya Mapug au nyingine sasa moja wapo nilipita kimya kimya kisha kuna mtu akaniulizia we Ukanitag. Sijui kama wakumbuka maana uzi ulinoga huooo.Uzi gani huo dada akee
wee nyonyo ndio nini kutoweka totally kama jasho la sisimizi !!?Hahahahaha... ukacheza na mind yangu tu lol nikikumbuka nachekaga pekeangu
Sina ugumu wowote.Kwamba wewe mgumu sana?
Huwa ananunua mwenyewe. Sina utaalamu wa kuchagua chupi. Niulize perfumes.Kwahiyo hata kyupi tu huwezi mnunulia mpenz wako?.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ilikuwa chit chat woiiiiKuna nyuzi mbili sijui ila ya Mapug au nyingine sasa moja wapo nilipita kimya kimya kisha kuna mtu akaniulizia we Ukanitag. Sijui kama wakumbuka maana uzi ulinoga huooo.
Mwisho wa siku watu wakachezea ban za hatari.
Au tumfyekelee mbali[emoji23] [emoji23] [emoji28] [emoji28]
Hahahaha, Mkuu km wana tufyekelea mbali ,usimaind ni kawaida tu hy ,we tusubiri hata hilo la kufyekelewa mbali nalo kheri piaMkuu wanatuskia hpa na kutujadili[emoji23] [emoji23] tunajadiliwa kufyekelwa mbali.
Aaa kesho mbona utanipuna.Nipo si unajua pa kunipata halafu kesho nakuja pande zako kuleee umeshaelewa lakini ujue tunaongea kwa code
Hahahaaa. Naona unanibananisha nikose pa kutokea.Unakwenda wapi njoo ujitetee mbele ya wite akuskie[emoji23] [emoji23] [emoji23] na mtu chake pia askie.
Hhhhh. Hapo umenena vyema mkuu.Hahahaha, Mkuu km wana tufyekelea mbali ,usimaind ni kawaida tu hy ,we tusubiri hata hilo la kufyekelewa mbali nalo kheri pia
Hahaha kukupuna ndio nn jamani vijana mna misemo yenu nyie mnaijua wenyewe nitakuwepo huko mpaka jumatatuAaa kesho mbona utanipuna.
Nafkiria kesho ntakua na busy day ila ntafika huko tuongee m2 ma3