Dada zetu acheni kuombaomba, mnajidhalilisha na jifunzeni kuficha njaa zenu

Sio jf na nyie ni watu nyie si invisible wote humu ni majini.
Nasemea tanzania nichezewe nanani humu ni vilaza tu ndio wapo hakuna mtu kama mtu wanaume waukweli wapo nje ya nchi wenye kila kitu kama wanaume huku mmeharibika kwa madawa na uchunwaji


πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kuna nyuzi mbili sijui ila ya Mapug au nyingine sasa moja wapo nilipita kimya kimya kisha kuna mtu akaniulizia we Ukanitag. Sijui kama wakumbuka maana uzi ulinoga huooo.

Mwisho wa siku watu wakachezea ban za hatari.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ilikuwa chit chat woiiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…