witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Sasa si ndio utoe na jf hadi na huku tujishtukie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Sasa si ndio utoe na jf hadi na huku tujishtukie
Sijui nipoje. Yani nikikutana na dada mzuri kapata matatizo mahali huwa najitahidi kubeba matatizo yake yote ndio nipate furahaSasa si ndio utoe na jf hadi na huku tujishtukie
InaezekanaNilikua nawaza hivhivi
Eeh azimwage na humu tujishtukie..tena humu na sifa atazipata za kutosha tu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mnoooo😀wanapenda kulialia sanaa
[emoji18]mbona mbinguni ni hapahapa duniani?Vibaya hivyo hutaenda mbiguni shauri lako
Unakajua!?...ukute ni lijimama la haja[emoji23] [emoji23] ...si unajua umdhaniye...Kwa kweli
Kanahitaji msaada
Na kweli mwaya ila huenda ikawa ndio anapata ahueni labda. Japo na mie pia nimejikuta namsikitikia tu.Haaahaaaa asante....mi mwanamke mwenzangu nikiona kavurugwa haki najisikia vibaya sana!...wanawake tuna mateso sana humu duniani...so huwa nafeel pity!
Pole zake maskini!
Haaahaaaa....akaribie tu![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Anatusoma kimyakimya tusubiri povu sasa
Hiyo hiyo ya duniani, kuna corners utashindwa kuzifikia, zile corner zenye raha zaidi[emoji18]mbona mbinguni ni hapahapa duniani?
Acha utani kabisaHebu mtu anipe a/c no yake nimuwekee hela kimakosa muda huu
Ml 60 ni mmalawi kwa hali hii ya sasa akitokea mtu akatoa au kuahidi hiyo hela simtakufaHata yule aliekuahidi 60m nae ni kilaza?! Aliekuvuruga Mungu anamuona.
Uwiiii ...wanaume kama ninyi mmebaki wawili tu Africa hiiSijui nipoje. Yani nikikutana na dada mzuri kapata matatizo mahali huwa najitahidi kubeba matatizo yake yote ndio nipate furaha
Shida yenu humu majina feki, picha feki na wasifu feki
Ml 60 ni mmalawi kwa hali hii ya sasa akitokea mtu akatoa au kuahidi hiyo hela simtakufaHata yule aliekuahidi 60m nae ni kilaza?! Aliekuvuruga Mungu anamuona.
mmmh sawa tuta achaMkuu ukishaombwa hela hata mzuka wa gemu unapotea..Mtu hata hamjafahamiana vizuri ashakurushia invoice za kutosha, unawaza ukishagonga ndo inakua balaa sasa
MsieeewwwwHebu mtu anipe a/c no yake nimuwekee hela kimakosa muda huu
Hahahaa. Sijui kwa nini moyo wangu unakataa hii kauli.Mimi ni mtoaji mpaka madada wa hapa mtaani wanajishtukia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unavyoandika kwa kumaanisha sasaUwiiii ...wanaume kama ninyi mmebaki wawili tu Africa hii
Yani Mimi ni huyo apo kwa avatar..jina langu ni Iloilo..kila unachoona ni real hakuna kitu fake hapo
Naomba unifikirie tafadhali
Sio vibaya kama sizijui hizo kona,,, nikizijua lazima nizifikieHiyo hiyo ya duniani, kuna corners utashindwa kuzifikia, zile corner zenye raha zaidi