Savage Dad
JF-Expert Member
- Jul 10, 2018
- 1,388
- 2,611
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hizo coins tulonazo pia mnataka kutumalizia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hizo coins tulonazo pia mnataka kutumalizia.
Sawa ntasubiri.Ndioo.
😂😂😂😂 husahau 🏃♂️🏃♂️🏃♂️Huyo mim nilimyooshea mikono[emoji23] [emoji23] [emoji23] .
Mpka leo sijajua akichokiandika maana yake(ndundu party)[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nielekeze location.😀Ijumaa leo njoo nikupe raha karibu natoka gengeni kwangu mauzo si haba!
Wanaotumia hela kupata wanawake ni madomo zege.. Raha umtungoze mtoto mzuri akupende then maswala ya hela yanafwata baadaeKijana una 25-35 unatumia hela kupata mwanamke....ukifika 50+ itakuwaje?
Hahaha ndundu partyHuyo mim nilimyooshea mikono[emoji23] [emoji23] [emoji23] .
Mpka leo sijajua akichokiandika maana yake(ndundu party)[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mim nazitumia mda hizo.Umeona eee beba ujuzi hapa..😀
Sawa ntasubiri.
Khaaaa sasa mm namchunaje tena hahaha makubwa haya
SafiiiMim nazitumia mda hizo.
Wazee ndio watamuTulishazeeka[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kupuna ni kile kitendo kunapokua na mnagawanyo wa kitu mmoja wapo akapta kingi zaidi ya mwenzake.
Yani demi hujanielewa kwenye huu uzi.. Ishu sio kupigwa mizinga shida inakuja pale mtu anakuona wewe boya umpe hela eti sababu anajua ana papuchi. Ila kwa wewe hata ukiniona boya sawa tu, hela ntakupa hata usiponipa papuchi. Ila ntaumia mana huo utamu sio wa nchi hiiWewe unaelalamika kupigwa mizinga u cant be serious
Njoo samaki samaki mlimani city saa moja jioni.Nielekeze location.😀
Mim kusahau.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] husahau [emoji125]♂️[emoji125]♂️[emoji125]♂️
Yani demi hujanielewa kwenye huu uzi.. Ishu sio kupigwa mizinga shida inakuja pale mtu anakuona wewe boya umpe hela eti sababu anajua ana papuchi. Ila kwa wewe hata ukiniona boya sawa tu, hela ntakupa hata usiponipa papuchi. Ila ntaumia mana huo utamu sio wa nchi hii
Hivi ushawahi kuona simba mwenye njaa akimuacha swala aliyenona?Hebu mkuu mi niache please![emoji28] [emoji23] [emoji23]
Hahaaaa. Umeonaee.Naona Dada ameongezeka watano
Hawa ndio wanaume sasa
Hujawahi kuskia hilo neno kalisema hajar.Hahaha ndundu party
Hahaaaa. Usijali Mtani.Hahahaha, mtani naomba msamaha kwa hili la kufukua kaburi