Dada zetu acheni kuombaomba, mnajidhalilisha na jifunzeni kuficha njaa zenu

Dada zetu acheni kuombaomba, mnajidhalilisha na jifunzeni kuficha njaa zenu

Mtoto wa kike kumuomba mwanaume kawaida tu lakin isiwe too much, maana msipoombwa mnajiuliza kwann huyu mwanamke haniombi pesa nshakutana na Uzi mwanaume analalamika kwann demu wake amuombi pesa
Huo uzi upo humu?
 
Naomba Namba yako DM
Leo ndio mwisho wakuwa jamii forum napenda kuwaaga wote kupitia uzii huu ngoja nijitoe humu kabisa siku moja kunamtu atatoa picha zangu kwania mbaya akisema huyu ni katoto kazuri nikadangaji nahuku mimi nimtu najiheshimu familia yetu niwatu wa maadili na wameshika dini.
Watu wakikudis sio poa tena ambao hawakujui so kwa herini this time it's for real.
 
Back
Top Bottom