Dada zetu acheni kuombaomba, mnajidhalilisha na jifunzeni kuficha njaa zenu

Dada zetu acheni kuombaomba, mnajidhalilisha na jifunzeni kuficha njaa zenu

Ndio,ila Uzi ulikuwa ni wa issue nyingne ila huyo jamaa katika Maelezo yako nakumbuka aliandika demu wake hamuombi pesa hata yy kajitolea kumpa bila kuomba mfano kampa 7000/ demu anachukua 3000/ anarudisha buku 4
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ningeuona ningecheka mpaka nichanike mbavu[emoji23] [emoji23] [emoji23] haaahaaaa

Jf noma sana!
 
Back
Top Bottom