Dada zetu acheni kuombaomba, mnajidhalilisha na jifunzeni kuficha njaa zenu

Dada zetu acheni kuombaomba, mnajidhalilisha na jifunzeni kuficha njaa zenu

Ukiona mwanamke amebadirisha tabia yake kwako,hasa ikawa ni kwa sababu ya mwanaume mwingine,unachotakiwa kufanya ni kuangalia mbele tena uongeze mwendo.
Uking'ang'ana kwa sababu yoyote ile mwanamke anaweza hata kukuua,iwe kwa maradhi au kwa sumu au hata kwa presha. Amekua mtumwa wa mwanaume mwingine anafuata maelekezo ya mwanaume mwingine,uko hatarini tayari. Wanawake hawawezi kuwapenda wanaume wawili kwa pamoja,ukitendewa sivyo ujue kuna mtu anafaidi mema, just move on.
 
Ukiona mwanamke amebadirisha tabia yake kwako,hasa ikawa ni kwa sababu ya mwanaume mwingine,unachotakiwa kufanya ni kuangalia mbele tena uongeze mwendo.
Uking'ang'ana kwa sababu yoyote ile mwanamke anaweza hata kukuua,iwe kwa maradhi au kwa sumu au hata kwa presha. Amekua mtumwa wa mwanaume mwingine anafuata maelekezo ya mwanaume mwingine,uko hatarini tayari. Wanawake hawawezi kuwapenda wanaume wawili kwa pamoja,ukitendewa sivyo ujue kuna mtu anafaidi mema, just move on.
Mungu ametuasa tuishi nao kwa akili..Wanafikiria kupitia mioyo sio akili, so akipata wa kumdanganya ndo basi tena huna chako.
 
Mafiiii ya mbuzi. Ubosslady kwenye kuandika eeh.. kuna mshkaji wangu mmoja aliogopa kumfuata mtu pm humu kisa anamuogopa ana hela kwa anavyojisifiaga huku. Nikamwambia acha woga wewe katongoze achana na maandishi wengi wanaigiza
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]kweli full kuigiza hujasema uongo
Jamani kuna nini siku hizi napitwaaa kwelii
Naomba nami kumjua bosslady wa jf
 
Wewe witney nimekuvumilia sana unamadharau na huku na wewe ni mlala hoi humu hakuna mtu wakunifanya niishi kama siko duniani wewe ni mmoja wa wawanawake wanaojisikia nahuna lolote kifupi umeajiriwa naunauwakika wa kurenew mkataba kisa wewe unajua kutoa utamu so sikushangai ukijiamini.
Who are you wewe ni wale wanawake ambao k ndio unaitumia kwa kila kitu ukiona fulsa inajitokeza unatoa k kama kipaumbele wewe sikujui kama nidada angu au mdogo wangu ila najua nimwanamke unayetishia jamii forum tu ila nje ya hapo huwezi kutishia mtu kwa maana wanakujua your wost than anyone.
Ukiona hata shemeji yako wewe unapitia tu .
Ukiona mtu anakahela unahakikisha ni wako yaani hakuna kitu ambacho hukipitii so mimi nimenyamaza sana unajua kukaa humu nakusema wenzako na huku wewe huna hata hiyo hadhi hata kama umezidi nini wenzako acha unafiki uende mji mwema kwa maana kuna usemi huu kusoma sio kufika bali kujitambua nakutovuka mpaka ndio heshima nautaishi vizuri kama utakuwa sio mnafiki .
Wewe ni wale wadada ambao mnacheka nao sasaivi na baadae akiondoka yule unakuja kumcheka yule nakumsema yule .
Unavimafumbo ambavyo hadi kazini wanakuchoka kisa ya hivyo.
Unamadharau sana kama nini wewe ni wale wadada ambao unataka uonekane upo juu unajitambua wanaume nawanajamii wakuone bonge la toto kiufupi sijawahi ona mshamba kam wewe.
So kama ni bifu nimeanzisha kama unawapambe waje tu mbona nipo nawala sintowajibu kwa maana tumewazoea ni wachovu ndio wanahangaikaga.
Duuuuuu..
 
Back
Top Bottom