Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
- Thread starter
-
- #301
Naliaga kwa uchungu nikisema ee Mola.............
Kama ni kufua, kudeki, kusafisha vyombo najua!
Kama ni kumsalimia mama mkwe, wifi na mashemeji kwa goti, nimefunzwa
Kama ni kulima na kutunza mifugo, including watoto wa kufikia pia nipo tayari; Sasa kwanini unitupe mja wako kwa kuwa sina churaπ€¦πΎββοΈ!
Pole haya kaka zangu mke mwema huyu hapa ππNaliaga kwa uchungu nikisema ee Mola.............
Kama ni kufua, kudeki, kusafisha vyombo najua!
Kama ni kumsalimia mama mkwe, wifi na mashemeji kwa goti, nimefunzwa
Kama ni kulima na kutunza mifugo, including watoto wa kufikia pia nipo tayari; Sasa kwanini unitupe mja wako kwa kuwa sina churaπ€¦πΎββοΈ!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahaha halafu zile comments zake ukizichunguza kwa makini kama zilikuwa message sent kwa mtu fulani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Acha unafiki uende mbinguni khaaaah!!!Dada haya maneno uliyoandika yameniuma sana honestly
Acha unafiki uende mbinguni khaaaah!!!
Kama wewe ulivyoandika kwa hisia?Amini kwamba, kaandika kwa hisia sana[emoji27]
Mtu aliye beba mzigo wa chuki kiasi kile amini dear huyo atakaye mpata ama kama yuko nae atapata tabu sana humu Kuna comments ukisoma unaelewa mahusiano yake uko yakoje hata kama ni feki I'd.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kupigwa cha mbavu kisa hauna kitu maumivu yake huwa hayaishi. Usione bar zinajaa ukafikiri watu wanaenjoy.
Wasijali, with time watapona tu na watawapata watu sahihi kwao. Hayo ndio maisha.
Kama wewe ulivyoandika kwa hisia?
Poleni sana, muda ni tiba tosha.
Bila shaka PM imeshafurika, kazi kwakePole haya kaka zangu mke mwema huyu hapa [emoji4][emoji4]
Huoni hata threads za kulialia nyingi humu ni za me.Mtu aliye beba mzigo wa chuki kiasi kile amini dear huyo atakaye mpata ama kama yuko nae atapata tabu sana humu Kuna comments ukisoma unaelewa mahusiano yake uko yakoje hata kama ni feki I'd.
Nimeikumbuka ile comment yako siku ile nikacheka tu.Bila shaka PM imeshafurika, kazi kwake
Haha ipiNimeikumbuka ile comment yako siku ile nikacheka tu.
Ngoja akakutane na kina gurudume watuletee sreenshort jukwaani ππππππBila shaka PM imeshafurika, kazi kwake
Mwache akapambane na hali yakeNgoja akakutane na kina gurudume watuletee sreenshort jukwaani [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Ile ya ulikuwa unamuona nani sijui mbaya hadi ulipojiunga jf na kuwasoma wanaume wa humu ukagundua yule ni malaika kabisa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Haha ipi
Mungu atusaidie kwa kweli wanawake tuna kazi ya ziada kwa kweli.Huoni hata threads za kulialia nyingi humu ni za me.
Yote tisa njoo comments za wanaume wenye ndoa humu ndio utachoka bandama na firigisi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ngoja akakutane na kina gurudume watuletee sreenshort jukwaani [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Hahaha baba yanguIle ya ulikuwa unamuona nani sijui mbaya hadi ulipojiunga jf na kuwasoma wanaume wa humu ukagundua yule ni malaika kabisa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Anajisifu ameoa malaika itakuwa ni mhenga mwenzetu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi yule mtu hata miaka 17 amefikisha kweli[emoji1745][emoji1745][emoji1745]
Tuna mafurushi acha tu.Mungu atusaidie kwa kweli wanawake tuna kazi ya ziada kwa kweli.