Dada zetu hivi unajisikiaje wenzako wanavyoolewa wewe upo tu umebung'aa?


Mbna umewaka sana pole🤣🤣🤣
 
kila wazo la ndoa likija nikiwaza kubaby sit mtu mzima dah. Huwa nagairi haraka sana.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mtu mzima aloshindwa na wazazi wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…