Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
- Thread starter
- #341
Sasa hii nayo eti ni mada... Umetongoza huko umekataliwa unakuja kuchamba mtu apa kwa kisingizio cha wanawake wasioolewa.... Kakukataa kwa sbb hajakupenda na wewe unamlazimisha kumuoa mtu na hataki basi hasira umezileta huku. We katafute size yako uoe... Wasioolewa we wanakuuma nini sasa kwani wanakula na kulala kwako?
Mbna umewaka sana pole🤣🤣🤣