Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akilizako kama za boya moja nlikuaga nae eti anasema kabisa hataki kuoa haa nikamuacha mchana kweupe sijui nani alimwambia mi nataka vitombi..ms....nge sana yule kaka..na bora alitamka mapema.Kwani ni lazima kuoa ? Ama kuolewa
Hii style ya maisha inatukwamisha sana mimi nazalosha tu swala la kuoa huwa sifikirii
Hahahaha mkuu unatema cheche
Acha Dunia izunguke
Ingependeza sasa ungewashauri nini wafanye ili wapate kuolewa chief...
Hebu kwanza utuambie, tukishakwambia tunavyojisikia utachukua hatua gani?
Ndio ivyo mzee baba hawa wanawake wapo wengi sana na sio lazima wote waolewe wengine ni kwa ajili ya kuosha rungu tunapokua tumechoka kupiga papuchi za kwenye ndoa
Na sio lazma wanaume wote tuoe??
HahahahahahahaHili jiwe la gizani litapiga wengi sana, ila huwa wana visingizio kibao vya kujipa matumaini
Umejibu kifupi sana ila jibu lako limekamilika kwa 100%...Mmezidi kutusema suala la kuolewa ni bahati na mipango ya Mungu ,
Marriage is just a piece of fucking paper.
(excuse my manner [emoji57])
Kuna tofauti kati ya kuishi na mtu na kuoana,
kama unazungumzia wale ambao wanaishi peke yao bila wapenzi hiyo ni another case,
Find Money and you will get your happiness.
Vp nafasi bado ipo wazi?una aki
akilizako kama za boya moja nlikuaga nae eti anasema kabisa hataki kuoa haa nikamuacha mchana kweupe sijui nani alimwambia mi nataka vitombi..ms....nge sana yule kaka..na bora alitamka mapema.