Dada zetu hivi unajisikiaje wenzako wanavyoolewa wewe upo tu umebung'aa?

Dada zetu hivi unajisikiaje wenzako wanavyoolewa wewe upo tu umebung'aa?

wanatamani ku like hiii reply yako ila wanaogopa vibaya Mno...na uhakika saivi ingetakiwa iwe ishapata Likes za kutosha ila Kila mtu anajifkiria ni ki like watanijua sjaolewa [emoji23] [emoji23] [emoji23]

JF raha sana yani watu tunatumia ID fake ila kuna mambo mtu hata kama hajulikani ukimwambia afanye,aseme,aandike Bado hatoweza sjui hii watu wa saikoloji wanalisemeaje.
Hahaaaa daah

Smart guy
 
Umekosea mkuu,Omba Sana watoto wako wa kike kama utabatika wapate ndoa wasije angukia kwenye kundi ulisemalo la mbwisi au takataka.
Wasipopata ni upumbavu wao..mimi hapo nitakua siusikii kabisa
 
una aki

akilizako kama za boya moja nlikuaga nae eti anasema kabisa hataki kuoa haa nikamuacha mchana kweupe sijui nani alimwambia mi nataka vitombi..ms....nge sana yule kaka..na bora alitamka mapema.
sasa njoo kwangu hapa twende kwa shehe kukakamilishe daughter
 
Ndio ivyo mzee baba hawa wanawake wapo wengi sana na sio lazima wote waolewe wengine ni kwa ajili ya kuosha rungu tunapokua tumechoka kupiga papuchi za kwenye ndoa
aisee mkuu japo mimi ni me lakini naona unatakiwa uwe na lugha ya staha kidogo hivi umeshafikiria kuwa hata wewe cku 1 utakuja kuwa baba,anko,binamu au kaka ya hao wanawake ambao hawajaolewa?
 
Sio kwamba utakuwa uhusiki utahusika na roho itakuuma sana kuona binti zako wapo home.
Kwa sasa yupo mmoja..ila ataolewa tu labda mama yake amharibu na dunia zenu za kufikirika, kutaka ndoa hadi zipeoekwe bbc,tarumbuta,watu wakeshe wakila nankunywa n.k...ila kama ni ndoa ya kawaida ataolewa na mtu wake tu na watatengeneza maisha yao pamoja bila shida yoyote
 
Nikuambie tu hakuna mwanamke ambae hajawahi kubahatika kupata mtu mwenye nia ya kumuoa...tatizo lipo kwenu wanawake mnachagua sana,mnataka kila kitu mkukute,tatizo linaanzia hapo...
Jinsia yako ni me ila unaonekana unataka uvae uhusika una mawazo mabaya juu ya wanawake.
 
Dada zetu mseme ukweli hivi huwa unajiskiaje mwenzako anaolewa afu wewe huolewi?? Ulishawai kaa chini ukajiuliza why siolewi??

Unajiskiaje unaletewa card ya mwaliko afu ww miaka nenda rud unagegedwa tu huolewi

Unajiskiaje unahudhuria kwenye harusi za wenzako afu wew upo tu??? Huolewi

Au bado unaamini wakati wako wa kuolewa hujafika?? Ukiona una age 30+ na hujaolewa bhs jua kuna sehem unakosea na age hio possibility ya kuolewa ni ndogo sana.

JIMAPILI NJEMA.
Naona wivu sana ila siharibu harusi ya mabest zangu.
Ila roho inauma
 
Kwa sasa yupo mmoja..ila ataolewa tu labda mama yake amharibu na dunia zenu za kufikirika, kutaka ndoa hadi zipeoekwe bbc,tarumbuta,watu wakeshe wakila nankunywa n.k...ila kama ni ndoa ya kawaida ataolewa na mtu wake tu na watatengeneza maisha yao pamoja bila shida yoyote
Eti ataolewa tu kama vile nawe ni Mungu omba sana asije kukuletea mtoto nyumbani kabla ya ndoa.
 
Jinsia yako ni me ila unaonekana unataka uvae uhusika una mawazo mabaya juu ya wanawake.
Sina mawazo mabaya juu ya wanawake na nawaheshimu sana..lakin meanamke ambae hajaolewa kajitakia hakuna wakumlaumu,tatizo ni yeye na sio sisi
 
Back
Top Bottom