Dada zetu hivi unajisikiaje wenzako wanavyoolewa wewe upo tu umebung'aa?

Dada zetu hivi unajisikiaje wenzako wanavyoolewa wewe upo tu umebung'aa?

kumbe sio kweli kwamba sperm zinamfanya mtu anawiri na kuvutia.

Basi nitolee mfano ulio hai zaidi. Mimi leo hii nikikaa na wanawake (japo sio wote) ambao nilisoma nao shule ya msingi.
Naonekana kama mdogo wao.

Hivi Madam Ritta nae ni Cha pombe au K_lyn maana na wao bila msaada wa make up mambo hayaendi.
Hao watu unawazungumzia wakiwa kwenye makazi yao wako na Mekaup,picha za kwenye mitandao hata hivyo umri wa madam Ritta na k_lyn huwezi kuwaweka kwenye kundi la kufubaa.
 
Hahaha!!
U are so stubborn! !

What do u think!!

Is it more valuable than friends and family!??

In the end friend and Family are what truly bring us happiness!!

Has to be more to life than the money and shiny things!!

Happiness is your choice so YES, Money CAN buy Happiness.
 
Hahaha!!
U are so stubborn! !

What do u think!!

Is it more valuable than friends and family!??

In the end friend and Family are what truly bring us happiness!!

Has to be more to life than the money and shiny things!!
Wangapi wametengwa na familia zao, wamesalitiwa na rafiki zao,

Bro, maisha yana pande mbili usikariri ya kwako ndio ukadhani ni kila mtu yuko nayo,

Bado nipo sahihi, FURAHA ni uchaguzi kama hapo ulivyochagua kua familia na marafiki ndio furaha yako na wengine wanachagua club ndio furaha yao, wengine wanachagua pombe ndio furaha yao, wengine wanachagua wanyama ndio furaha yao, n.k.
 
Wangapi wametengwa na familia zao, wamesalitiwa na rafiki zao,

Bro, maisha yana pande mbili usikariri ya kwako ndio ukadhani ni kila mtu yuko nayo,

Bado nipo sahihi, FURAHA ni uchaguzi kama hapo ulivyochagua kua familia na marafiki ndio furaha yako na wengine wanachagua club ndio furaha yao, wengine wanachagua pombe ndio furaha yao, wengine wanachagua wanyama ndio furaha yao, n.k.
Umeolewa bibie?
 
Sawa kabisa wala hujakosea!!
Wangapi wametengwa na familia zao, wamesalitiwa na rafiki zao,

Bro, maisha yana pande mbili usikariri ya kwako ndio ukadhani ni kila mtu yuko nayo,

Bado nipo sahihi, FURAHA ni uchaguzi kama hapo ulivyochagua kua familia na marafiki ndio furaha yako na wengine wanachagua club ndio furaha yao, wengine wanachagua pombe ndio furaha yao, wengine wanachagua wanyama ndio furaha yao, n.k.
 
Back
Top Bottom