Dada zetu hivi unajisikiaje wenzako wanavyoolewa wewe upo tu umebung'aa?

Dada zetu hivi unajisikiaje wenzako wanavyoolewa wewe upo tu umebung'aa?

Wema amechuja kwaajili ya make up. Usipozoea sana kupaka make up huwezi chuha haraka
Kwa miaka ya hivi karibuni, msiopaka ma make up tunawatafuta kwa kurunzi. Wengine wanajikandika Make up hadi sura zinatisha.
 
Kibongobongo kuchuja kupo pale pale labda uwe unaishi kwa Trump.
Nilishangaa kumuona Wema usoni akiwa bila make up wakati ule alipohukumiwa siku saba za kukaa mahabusu
Yaani mkuu unatoa mfano wa wema yule mwili wake kauacha uharibike vile pombe jumlisha vyakula vya mafuta bila kufanya mazoezi bila kusahau wanaume wasio na idadi lazima uchuje.
 
Yaani mkuu unatoa mfano wa wema yule mwili wake kauacha uharibike vile pombe jumlisha vyakula vya mafuta bila kufanya mazoezi bila kusahau wanaume wasio na idadi lazima uchuje.
kumbe sio kweli kwamba sperm zinamfanya mtu anawiri na kuvutia.

Basi nitolee mfano ulio hai zaidi. Mimi leo hii nikikaa na wanawake (japo sio wote) ambao nilisoma nao shule ya msingi.
Naonekana kama mdogo wao.

Hivi Madam Ritta nae ni Cha pombe au K_lyn maana na wao bila msaada wa make up mambo hayaendi.
 
Najua ni kwasabu ya hiyo picha hapo. Hiyo ilikuwa ni kwenye harusi ya ndugu yangu kiukweli sikuweza kukataa kupakwa make up na divaglam 😀😀😀 wadau watanielewa.
Sina time na make up mie muulize manengelo


Ni kweli..huna tym na makeup..mir toka harusi ya kakako last yr sijaaply makeup.nna 7mths sijaaply lipstick..uwii
 
Najua ni kwasabu ya hiyo picha hapo. Hiyo ilikuwa ni kwenye harusi ya ndugu yangu kiukweli sikuweza kukataa kupakwa make up na divaglam [emoji3][emoji3][emoji3] wadau watanielewa.
Sina time na make up mie muulize manengelo
Nashukuru umetambua kwamba niliangalia hio picha.
 
Back
Top Bottom