MLEVi Mmoja
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 8,514
- 15,050
Hakika mkuu
Shake well before use
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shake well before use
Kila mtu na choices zake, inawezekana kweli wapo wanaotaka kuolewa lakini the time isn't right, mtu waliopangiwa hajaonekana lakini umri hausubiri, afanye nini mtu wa namna hii, she needs to wait, patiently coz there's nothing she can do to change her situation.
Ninachopenda kuwaambia wenzangu, ni vizuri sana kutafuta watoto (kama unataka) katika umri mdogo(25-35) na isizidi 40yrs.
Kuolewa sio lazma japo inaongeza heshima- Mwana FA
b
kuna wanawake wana bahati ya kupendwa haswa tena wakiwa wabichi tu na watu wa maana wale wenye uwezo wa kuoa kabisa ila huwa wanawakataa na kuwakubalia raia wasio na mipango. Too bad wanaishiaga pabaya, story ya manz mmoja alipendwa na jamaa head over heels anapewa kila anachotaka jamaa yupo serious dem akaleta mapicha picha, anapewa hela anapeleka kwa chalii yake hivi sasa yuko na hako kajamaa hakana mbele wala nyuma sahivi ana mtoto wa pili. Jamaa anamiliki saloon ya uswazi tu life limekuwa sio. Demu kujifungua tu anarudi kijiji kwa nauli ya kuunga unga
Heheh sasa kwan lazma?Ndo wajidanganya?
Ni sahihi ila kwa mwanamke makini ha,akuna mwanaume mchezeaji. Ukijiweka kuchezewa utachezewa haswa, ila ukiwa serious hata mwanaume mwenyewe anajipanga kuku approach haji kizembe.
Just strive to make your tommorrow better, kuwa serious na maisha yako uone kama hauta attract mwanaume kukujoin kwenye safari ya maisha yako.
Tatizo wanawake wa sikuhizi mpo kustareheshwa tu mnataka slope ya kila kitu, uhudumiwe wewe huna la ziada zaidi ya kukata viuno kitandani. Tatizo lazma liwepo
Umri wa kuanza kuolewa ni miaka 23 hadi 30 ukivuka hapo jitilie shaka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji8]nimekuchum kabisa!!Macho yako yatakuwa mabovu
Daah! Mkuu una umri gani?aisee msiwasakame wadada sio vizuri sio kwamba wanataka tuachane na hao wanaodanga hawajielewi il abado hawa wakawaida ni wengi kuna hali ya desperate ipo kiswahili chake sijui....so wanahitaji tatizo lingine mwanaume mpaka aoe anakuwa nao akama 6 anachuja taraibu so wengine wanakuwa kundi hilo wanajikuta mmoja anapata bahati ..na sio kwamba hawafai ila basi uchaguzi mgumu mtu anaamu aaoe tu au akion amdada analeta complications anaoa kwingine...angalizo kuoa hkuhusiani n akubanjuana maana watu wanabanjuana tu daily ...ila mwanaume akiamu kuo ahata leo anaoa hata kama akisem ahana hela anataka aoe il a kwa mada ni ngumu maan aye anafuatwa ndio aolewe ...
embuy angali ana idadi ya wanaume sa hivi kuna hatari hata hawa viumbe wa kiume ika wa kike wamekuwa wengi so wanaongfeza idadi ya wadada kuwa idel..kingine vita za kifamili aau ukabila unaondekezwa n audini so utakuta mtu alikuwa n abahati ya kuolewa ila inashindikana anabaki hivo hivo so kila mtu na chance zake pia
sasa majukumu ya mke huyawezi wala huna haja ya kujihangaisha. Sifa hizo ni za ma slay queen wengi i guess!wala mimi sio slay Q basi tu nadhani watu hatufanani.
Mothet confessor?Easy Sunday...
😂😂😂😂😂 kwahilo jaribu Urusi labda! Yani mie nijifulie na kujipikia we ukiwa wapi?Tamaduni ambayo mwanaume hafanyiwi kila kitu
🙄🙄🙄Mothet confessor?
Santeeeee 😘[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji8]nimekuchum kabisa!!
Duh Bora unajijua mwenyewe 😀😀Hahahahhahahahaha shogaaaa anaeniweza mimi malaika tu
Sidhani maana mwanamke anapenda kwa mazoea. Na ndio maana kwa amri ya baba iliwezekana binti akaolewa na kijana anaechaguliwa na wazazi na akastick nae mpaka kuzaa nae watoto na wakalea. Ilikua rahisi maana hakukuwa na option na mume alipewa skills za jinsi ya kuishi na mkewe.mtii mume wako , na mume mpende mke wako...hivi enzi za zamani wanawake walikuwa wanapenda na kiufanya maamuzi kkwa kuangalia kama anampenda mwanaue au la...ka swali tu haka, maana ukifuatilia kiundani ni debate nyingine tena aisee
kusitiriana ni ukomavu wa hali ya juu, mie sina tofauti na wewe, ni vile sijaenda kulisha watu ukumbini tu. Ila maisha yanasonga.Eti ungenistiri huyo aliyenioa hajanistiri bali tumestiriana yaani ndoa kwako unaona kama uhai vile tuulize tulio kuwa ndani ya ndoa najua wewe bado msela 😀😀😀