Hao watu unawazungumzia wakiwa kwenye makazi yao wako na Mekaup,picha za kwenye mitandao hata hivyo umri wa madam Ritta na k_lyn huwezi kuwaweka kwenye kundi la kufubaa.kumbe sio kweli kwamba sperm zinamfanya mtu anawiri na kuvutia.
Basi nitolee mfano ulio hai zaidi. Mimi leo hii nikikaa na wanawake (japo sio wote) ambao nilisoma nao shule ya msingi.
Naonekana kama mdogo wao.
Hivi Madam Ritta nae ni Cha pombe au K_lyn maana na wao bila msaada wa make up mambo hayaendi.
Simpondi, naelezea kwanini baadhi yetu hatuolewi wakati ndoa tunazitaka
😀😀😀 Naongea kwa niaba ya wengineheee kumbe mamyto unataka ndoa🤔
Njoo kwangu
Nimeona rangi rangi kuzunguka kope[emoji1]Ha haa umeona nini?
I think I like youSio hatuwataki hatutakani
Oooh waoooh welcome [emoji9]I think I like you
Nakaribishwa mpaka chumbani ?Oooh waoooh welcome [emoji9]
Hahahahahaha ukiweza ingia karibu sanaNakaribishwa mpaka chumbani ?
Poa NakujaHahahahahaha ukiweza ingia karibu sana
Hahaahah wala usihofiePoa Nakuja
usifunge na kufuli lile geti la nje.
Yeah nilitokelezeaNimeona rangi rangi kuzunguka kope[emoji1]
Sijaolewa mkuu.Ushaolewa mkuu ?
Happiness is your choice so YES, Money CAN buy Happiness.
Wangapi wametengwa na familia zao, wamesalitiwa na rafiki zao,Hahaha!!
U are so stubborn! !
What do u think!!
Is it more valuable than friends and family!??
In the end friend and Family are what truly bring us happiness!!
Has to be more to life than the money and shiny things!!
Umeolewa bibie?Wangapi wametengwa na familia zao, wamesalitiwa na rafiki zao,
Bro, maisha yana pande mbili usikariri ya kwako ndio ukadhani ni kila mtu yuko nayo,
Bado nipo sahihi, FURAHA ni uchaguzi kama hapo ulivyochagua kua familia na marafiki ndio furaha yako na wengine wanachagua club ndio furaha yao, wengine wanachagua pombe ndio furaha yao, wengine wanachagua wanyama ndio furaha yao, n.k.
Wangapi wametengwa na familia zao, wamesalitiwa na rafiki zao,
Bro, maisha yana pande mbili usikariri ya kwako ndio ukadhani ni kila mtu yuko nayo,
Bado nipo sahihi, FURAHA ni uchaguzi kama hapo ulivyochagua kua familia na marafiki ndio furaha yako na wengine wanachagua club ndio furaha yao, wengine wanachagua pombe ndio furaha yao, wengine wanachagua wanyama ndio furaha yao, n.k.
Inauma hataree...ila wanajipa moyo...na kuchagua chagua nako kama mchele kunawaponza...
Nashauri wasichague sana...mimi naamini ktk maombi...waombe Mungu atawapa kwa wakati sahihiUnawashauri nn wenzako ?? Manake wana hali ngumu