Mkuuu... Nikweli Sina Amani kwasasa Nina mengi yadunia yameniandama..ndo Mana nikaweka hiyo thread.Sawa reporter wangu, post zako zinaonesha huna aman njo dm tuyajenge
Mkuu...Unajisikiaje pale wenzako wanavyojenga magorofa na kununua Range Rover na wewe upo umebung'aa TU?
What is meant to be yours will eventually reach you. vice versa is true
Kwani unatafuta mchumba mkuu?Dada zetu mseme ukweli hivi huwa unajiskiaje mwenzako anaolewa afu wewe huolewi?? Ulishawai kaa chini ukajiuliza why siolewi??
Unajiskiaje unaletewa card ya mwaliko afu ww miaka nenda rud unagegedwa tu huolewi
Unajiskiaje unahudhuria kwenye harusi za wenzako afu wew upo tu??? Huolewi
Au bado unaamini wakati wako wa kuolewa hujafika?? Ukiona una age 30+ na hujaolewa bhs jua kuna sehem unakosea na age hio possibility ya kuolewa ni ndogo sana.
JIMAPILI NJEMA.
Kwani kuolewa ni utajiri kama haya uliyotaja?
Hapana mkuu..yeye kauliza tunajisikiaje wengine wakiolewa.Kwani kuolewa ni utajiri kama haya uliyotaja?
Sio kweli.Ni ngumu wanawake wote kuolewa, kumbuka wanawake ni zaidi ya mara mbili ya wanaume, hata wanaume wote wakioa wanawake wawili wawili bado watabaki wengi tu wasioolewa.
Sawa, nipo nimefika. Ma sister, talk to me ooHello
Naomba kuongea nawewe dear kama hutajali.
Nasubiri jibu dada yangu
Sio kweli.
Idadi ya wanaume na wanawake inalingana, kwenye statistics outliers hazikwepeki. Demographics haidanganyi.
Maisha ni magumu kwa wanaume wengi, wanasita kuoa kwa sababu ya ugumu wa maisha! Wanawake wengi hawataolewa, ni reality ya maisha. Painful, lakini ndio hivyo! Umasikini.
ilikuwa lazima uolewe tu. Hata ingekuwa mie ningekuoa chap chap!hainihusu nilishatoka huko broo; tena mimi niliolewa a month baada ya kumaliza chuo kwa hiyo sikupitia hiyo hali ya kubungaaa[emoji10][emoji3]
Uchumba si ndoa....Nshachumbiwa mimi,.
Uchumba si ndoa....
Umeelewa maana ya OUTLIERS na alichomaanisha?Acha kudanganya tukija kwenye stats wanawake ni weng mkuu
Kuna mwamba tukapeleka barua, tukapokelewa kwa nderemo na vifijo, tukaenda kutoa mahali Mil 2.7, ikapangwa tarehe ya send off kabisa. Wiki 3 baadae shemeji ananipigia simu analia eti jamaa hamwelewi amebadilika.........Anavimba[emoji3][emoji3][emoji3]
Ni kweli kabisa huwa tunapenda Sana churaNaliaga kwa uchungu nikisema ee Mola.............
Kama ni kufua, kudeki, kusafisha vyombo najua!
Kama ni kumsalimia mama mkwe, wifi na mashemeji kwa goti, nimefunzwa
Kama ni kulima na kutunza mifugo, including watoto wa kufikia pia nipo tayari; Sasa kwanini unitupe mja wako kwa kuwa sina chura[emoji2364]!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Mkuu nimesoma thread zako nyingi wewe.....Unapesa yakwaida TU HUNA utajiri wowote ule...
Kumiliki gari ya kawaida ya kutembelea na iPhone Sio utajiri Mkuu...Ni maisha yakawaida hayo.
Ndiyo ni utajiriKwani kuolewa ni utajiri kama haya uliyotaja?
Happy to see you[emoji7]Sawa, nipo nimefika. Ma sister, talk to me oo
Kuna mwamba tukupeleka barua, tukapokelewa kwa nderemo na vifijo, tukaenda kutoa mahali Mil 2.7, akapangwa tarehe ya send off kabisa. Wiki 3 baadae baadae shemeji ananipigia simu analia eti jamaa hamwelewi amabadilika.........
Nikamwendea hewani mwamba, akawa amebadilika kbs hataki kusikia habari yyt khs yule shemeji na kwamba tusiongele tena hilo suala.... ndo ikawa imeishia hvy!!!
Je wewe umeshaolewa na kuzaa? Kuna wengine wanaolewa ila ni kama magalasa tu, hayazai wapo wapo tu na kujutia kwanini waliolewa.Dada zetu mseme ukweli hivi huwa unajiskiaje mwenzako anaolewa afu wewe huolewi?? Ulishawai kaa chini ukajiuliza why siolewi??
Unajiskiaje unaletewa card ya mwaliko afu ww miaka nenda rud unagegedwa tu huolewi
Unajiskiaje unahudhuria kwenye harusi za wenzako afu wew upo tu??? Huolewi
Au bado unaamini wakati wako wa kuolewa hujafika?? Ukiona una age 30+ na hujaolewa bhs jua kuna sehem unakosea na age hio possibility ya kuolewa ni ndogo sana.
JIMAPILI NJEMA.