Quetzal
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 6,343
- 10,799
Champagnee yeye mwenyewe anasema ataoa akifika Miaka 35..Sio Kwamba hawezi anaweza ila ndo kaamua hivyo.
Sasa huyo.mwanamke ambae wewe hujamuoa...ukamuulize anajisikiaje Kusikia shosti zake wameolewa.
Maana ungekuwa na Akili hata ya kumimina Kvant kwenye glass..ungemuoa huyo unae mlala kila siku..ndonuje ulete bandiko hapa.
Sasa huyo.mwanamke ambae wewe hujamuoa...ukamuulize anajisikiaje Kusikia shosti zake wameolewa.
Maana ungekuwa na Akili hata ya kumimina Kvant kwenye glass..ungemuoa huyo unae mlala kila siku..ndonuje ulete bandiko hapa.