Dada zetu hivi unajisikiaje wenzako wanavyoolewa wewe upo tu umebung'aa?

una aki

akilizako kama za boya moja nlikuaga nae eti anasema kabisa hataki kuoa haa nikamuacha mchana kweupe sijui nani alimwambia mi nataka vitombi..ms....nge sana yule kaka..na bora alitamka mapema.
Ulimuacha wakati kashakula uroda ?
 
Mkuu hudhani huu uzi utafanya wazidi kujiskia vibaya?

Kuolewa ni suala lipo nje ya control yao (mara nyingi)

Ulichofanya hapa ni sawa na kumuuliza kiwete anajiskiaje 'kuona wenzie wanatembea kila kukicha'?

Nashauri ufutilie mbali huu uzi kandamizi
Uzi kandamizi
 
So what to do?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…