mzeewanusu
Senior Member
- Apr 11, 2019
- 106
- 81
hahahahahaha. nilitaka kuandika atakuwa na wenge balaa. ila nikauchuna.Not at all, ana ghubu balaa anahitaji mtu wakumfuc
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahahahaha. nilitaka kuandika atakuwa na wenge balaa. ila nikauchuna.Not at all, ana ghubu balaa anahitaji mtu wakumfuc
hahahahahahahaAtapata mume asubir kuolewa ni majaliwa kma mnavyodai
Ulimuacha wakati kashakula uroda ?una aki
akilizako kama za boya moja nlikuaga nae eti anasema kabisa hataki kuoa haa nikamuacha mchana kweupe sijui nani alimwambia mi nataka vitombi..ms....nge sana yule kaka..na bora alitamka mapema.
SawaVitajitetea hapa lakin mwanamke asipoolewa ni mbwisi kabiss..takataka
MwambieUmekosea mkuu,Omba Sana watoto wako wa kike kama utabatika wapate ndoa wasije angukia kwenye kundi ulisemalo la mbwisi au takataka.
Yap, anasubiri yesu amuonyeshe50yrs ni bikra??
Hahahaaaa hilo nenoTukiolewa wote mtachepukia wapi
Tukiolewa wote mtachepukia wapi
Wacha waolewe tu,ila Wa ndani wanataka kutoka sasa nani atataka kuingia ?
Umeandika nini hiki?World popn stats hauna dada? Hta tuoe wake5 kwa kila mwanaume bado mnabak
Ukwel upo moyon mwako lkn
Unajua maana ya bikra lakini?Anatuzingua uyo, huwa naskia kuna muda bikra huwa inatoka yenyew labda ni bikra hajawai kuingizwa mashine sawa
Umeandika nini hiki?
Atachukua maamuzi ya kuwaoa.Hebu kwanza utuambie, tukishakwambia tunavyojisikia utachukua hatua gani?
Mkuu tumekumbushwa kwenye vitabu vitakatifu tuchunge ndimi zetu maana zinaumba jamaa anajibebea laana ambayo itakuja kuwadhibu kizazi chake.Mwambie
Mchuma janga hula na wakwao
Uzi kandamiziMkuu hudhani huu uzi utafanya wazidi kujiskia vibaya?
Kuolewa ni suala lipo nje ya control yao (mara nyingi)
Ulichofanya hapa ni sawa na kumuuliza kiwete anajiskiaje 'kuona wenzie wanatembea kila kukicha'?
Nashauri ufutilie mbali huu uzi kandamizi
Kuolewa majaaliwa jamani kabla hujacomment jiulize wewe umeoa au ndowalewale mnaofunua na kufunika
So what to do?Dada zetu mseme ukweli hivi huwa unajiskiaje mwenzako anaolewa afu wewe huolewi?? Ulishawai kaa chini ukajiuliza why siolewi??
Unajiskiaje unaletewa card ya mwaliko afu ww miaka nenda rud unagegedwa tu huolewi
Unajiskiaje unahudhuria kwenye harusi za wenzako afu wew upo tu??? Huolewi
Au bado unaamini wakati wako wa kuolewa hujafika?? Ukiona una age 30+ na hujaolewa bhs jua kuna sehem unakosea na age hio possibility ya kuolewa ni ndogo sana.
JIMAPILI NJEMA.
Nina wifi yangu akakaribia 50 na bado ana matumaini ya kuolewa, ni bikra hajawahi kuguswa, mlokole ila nahisi kakeketwa