Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
- Thread starter
- #161
So what to do?
Angalia unapokosea rekebisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
So what to do?
Asantee sana ubarikiwe
Nia za kuoa tunazo Jeuri na viburi vyenu ndo vinawakimbiza wanaume baadae mnatulalamikia tunafunua kumbe ujuaji mwingi
Unataka kunuambia mpaka mwanamke anafikisha miaka 30 hajatongozwa au kitakuwa na mtu mwenye malengo na yey?
Nimekuelewa vizuri tu na jibu lako la mwanzo badilikeni dada zetuTulia kisha soma tena comment yangu uelewe vizuri mkuu
Natafta mke ... [emoji28]Easy Sunday...
Masimango nayo!!?
Acheni kusema watoto wa wenyewe,kuolewa ni mipango ya MUNGU.
Na kila mmoja muda utafika.
Acheni kucheza na feelings za kinadada.
Mkuu kifupi matatizo ya kuhusu ndoa hayapo kwa wanawake hata wanaume pia baadhi ni wachafuzi sio waoaji ila hapa lawama nyingi za kinafikiNimekuelewa vizuri tu na jibu lako la mwanzo badilikeni dada zetu
Sio lazima waolewe sababu flank anolewa lakini waolewe pale wanapopata mtu sahihi.
Shida ya wanawake wa siku hizi anataka aolewe na mtu mwenye gari na maisha mazuri tayari hawako tayari kuanza na mtu chini yaani uvumilivu hawana.
Duuuh[emoji15][emoji87]Vitajitetea hapa lakin mwanamke asipoolewa ni mbwisi kabiss..takataka
Mi nasema tu watatumika sana ikifika mda wa kuolewa wataanza kutia hurumaWanapenda maisha ya kifahari sisi masikin wanatu dump...
Nasi tukijitetea nia tunayo yakuolewa kutokujitambua kwenu na kujua wajibu wenu ndovinawakimbiza wanawake afu mnakuja kulalamikia mitandaoni
Mnapenda ushindani sana wanawake tambueni nafasi zenu
Mara nyingine tunamsingizia Mungu. Unakuta msichana ana tabia mbovu kama umalaya, ulevi nk lkn na yeye anataka ndoa. Inagonga 45 na uzee huo, bado utasema ni mipango ya Mungu?Mmezidi kutusema suala la kuolewa ni bahati na mipango ya Mungu ,
una aki
akilizako kama za boya moja nlikuaga nae eti anasema kabisa hataki kuoa haa nikamuacha mchana kweupe sijui nani alimwambia mi nataka vitombi..ms....nge sana yule kaka..na bora alitamka mapema.
hahahahaUkiona mwanamke anapondea sana wanaume jua umri umesonga