Dada zetu hivi unajisikiaje wenzako wanavyoolewa wewe upo tu umebung'aa?

Dada zetu hivi unajisikiaje wenzako wanavyoolewa wewe upo tu umebung'aa?

Eti ataolewa tu kama vile nawe ni Mungu omba sana asije kukuletea mtoto nyumbani kabla ya ndoa.
Baba kaleta unategemea nini kwa watoto, maisha ni duara ujue. Maji hufuata mkondo.
 
Sio kila mwanamke yupo kwajiri ya kuolewa.
Hakuna kitu kama hicho

Ila kuna vitu vinasababisha mwananmke awe hivyo
1. Kuishi na mama peke yake ambaye kutwa anakusimulia ubaya wa wanaume
2. Kushindwa kupata mwanaume ( sizitaki mbichi hizi)
3. Kujigundua kwamba ahauna sifa zinazowavutia wanaume waoaji( mfano sura, shep, tabia mbaya kama ukali na uasherati n.k)

4. Kuruhusiwa na wazazi kwenda kupanga na kuishi mwenyewe , either kuruhusiwa kwa hiari au baada ya kuajiriwa na hivyo kuishi kipindi fulani ukiwa peke yako
 
huyu anadhani amevuka mto hajatafakari kwa makini maneno yake..maisha ni mduara amesahau kwa kuwa ye mwanaume ila hajui upande wa pili piqa wanakutana na changamoto gani...ndio ilefamilia mama na nbaba wanakandia mainti wa wenzio mara hawajasoma mara hawana akili mara hawajatulia hawatolewa mara malaya tena ooh nyie mtaolewa tena na wanaume wana hadhi na kazi zao ...af mwisho wa picha wale wanaokandiwa wanakuwa na maisha na familia zao hawa wengine wanakuwa wanatanga tanga
Nashukuru kwa kunielewa mkuu ubarikiwe.
 
Hakuna kitu kama hicho

Ila kuna vitu vinasababisha mwananmke awe hivyo
1. Kuishi na mama peke yake ambaye kutwa anakusimulia ubaya wa wanaume
2. Kushindwa kupata mwanaume ( sizitaki mbichi hizi)
3. Kujigundua kwamba ahauna sifa zinazowavutia wanaume waoaji( mfano sura, shep, tabia mbaya kama ukali na uasherati n.k)

4. Kuruhusiwa na wazazi kwenda kupanga na kuishi mwenyewe , either kuruhusiwa kwa hiari au baada ya kuajiriwa na hivyo kuishi kipindi fulani ukiwa peke yako

Hapo kwenye sura,shepu nakupinga kwan wangap hawana shepu/sura na wanaolewa na wwnye pesa zao?? Mwanamke jiamin pia kama unajielewa hukos mme,,
 
Nina wifi yangu akakaribia 50 na bado ana matumaini ya kuolewa, ni bikra hajawahi kuguswa, mlokole ila nahisi kakeketwa
😂😂😂😂🙌🏿🙌🏿🙌🏿
You can’t be serious miaka 50 anatarajia kuolewa kweli imani ni hakika ya mambo yatarajiwayo
 
Naliaga kwa uchungu nikisema ee Mola.............
Kama ni kufua, kudeki, kusafisha vyombo najua!
Kama ni kumsalimia mama mkwe, wifi na mashemeji kwa goti, nimefunzwa
Kama ni kulima na kutunza mifugo, including watoto wa kufikia pia nipo tayari; Sasa kwanini unitupe mja wako kwa kuwa sina chura🤦🏾‍♀️!
 
Huyu member akili yake ina chuki kwa jinsia mke nahisi ameumizwa hisia mara nyingi zaidi yaani Jana zimenishangaza comments zake [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mioyo yao imebeba maumivu na chuki nyingi, tuwaelewe tu. Sio wao ni maumivu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1544][emoji1544][emoji1544]
You can’t be serious miaka 50 anatarajia kuolewa kweli imani ni hakika ya mambo yatarajiwayo
Kwani haiwezekani?
 
Naliaga kwa uchungu nikisema ee Mola.............
Kama ni kufua, kudeki, kusafisha vyombo najua!
Kama ni kumsalimia mama mkwe, wifi na mashemeji kwa goti, nimefunzwa
Kama ni kulima na kutunza mifugo, including watoto wa kufikia pia nipo tayari; Sasa kwanini unitupe mja wako kwa kuwa sina chura[emoji2364]!
Duuuuh!!
Kweli umetisha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Naliaga kwa uchungu nikisema ee Mola.............
Kama ni kufua, kudeki, kusafisha vyombo najua!
Kama ni kumsalimia mama mkwe, wifi na mashemeji kwa goti, nimefunzwa
Kama ni kulima na kutunza mifugo, including watoto wa kufikia pia nipo tayari; Sasa kwanini unitupe mja wako kwa kuwa sina chura[emoji2364]!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Naliaga kwa uchungu nikisema ee Mola.............
Kama ni kufua, kudeki, kusafisha vyombo najua!
Kama ni kumsalimia mama mkwe, wifi na mashemeji kwa goti, nimefunzwa
Kama ni kulima na kutunza mifugo, including watoto wa kufikia pia nipo tayari; Sasa kwanini unitupe mja wako kwa kuwa sina chura🤦🏾‍♀️!

Dada haya maneno uliyoandika yameniuma sana honestly
 
Back
Top Bottom