Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na kuoa ni magufuliKuolewa ni majaliwa
Money can't buy happiness! !Marriage is just a piece of fucking paper.
(excuse my manner [emoji57])
Kuna tofauti kati ya kuishi na mtu na kuoana,
kama unazungumzia wale ambao wanaishi peke yao bila wapenzi hiyo ni another case,
Find Money and you will get your happiness.
Wanaumia saana mengine ni kujifariji tu.. Ooh mipango ya Mungu , ndoa maamuzi ila ukweli ni kwamba wanaumia haswa. Tena haswa wakikumbuka waliwah mchomolea mtu sahihi[emoji16][emoji16][emoji16]...! Mungu awasaidie tu kwa kweli maana hawa viumbe hawaumbi ila ni wazuri kwenye kuumbua
Wanaume wa JF hawachepuki wala hawafanyi mapenzi kabla ya ndoa ndio maana hawataki na sisi dada zao tuharibiwe.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Mungu anisamehe ila wanaume wakiwa JF wanaongoza kuishi maisha ya kinafki. Vingi wanavyovipinga wao ndio watendaji wakuu.
Sasa mtu anasema nisigongwe utadhani yeye anaemlala ni mkewe tu kumbe nae anatembeza dudu ile ile ila akiwa huku mtakatifu yeye wala hafanyi zinaa nje ya ndoa
Hahahaha,,,ila kweli kamanda wanazigonga tena sana za wake wa watu unajua kwa nn mzee baba
na kuoa ni magufuli
Money can't buy happiness! !
Don't u think that! ??
Tuwaache waponde raha kwanza ili wakiingia ndoani watulie
Gundu! Wajinyonge!
Kuwashauli huwezi kwani wengi bado wanaishi maisha ya kwenye TvIngependeza sasa ungewashauri nini wafanye ili wapate kuolewa chief...
Rebeca kwani we bado? Mhenga nataka nitoe posa [emoji39]Kuna kipindi unajiuliza why na una feel guilty..ila baada ya muda unazoea tu...hata hustuki...By Kikongwe
Kila jambo na majira yake. Ipo siku yao ya kuona furaha
Ingawa wengine wanapenda kuwa single kwa sababu zao...wapo wadangaji pia.
Nilishawahi kuona wadada wakikataa kuolewa, wanapewa hadi pete ya uchumba lakini wanaishia kuifungia kabatini...kisa ati bado hajanivutia ngoja nivute naye muda huku nikisubiri the right person. Muda unaenda weeee jamaa wanabadili mawazo na kufuata wenye utayari....bado wanasubiri the right person
Ngoja niangalie wadada wamesemaje
Nyie ndio mnaongeza idadi raia wasio na mbele wala nyuma sababu ya kuwa na watoto kila kona na baba haupo responsible. Acha upuuzi huo....Kwani ni lazima kuoa ? Ama kuolewa
Hii style ya maisha inatukwamisha sana mimi nazalosha tu swala la kuoa huwa sifikirii