Dada zetu hivi unajisikiaje wenzako wanavyoolewa wewe upo tu umebung'aa?

Dada zetu hivi unajisikiaje wenzako wanavyoolewa wewe upo tu umebung'aa?

Mkuu umenielewa vibaya nilipo andika kwa Sasa ndoa si kitu muhimu tena kama zamani nilimaanisha hata hao wanaume wengi wao sio waoaji ni Wachezaji tukitaka kukosoa tukosoe pande zote mbili bila upendeleo.
Ni sahihi ila kwa mwanamke makini ha,akuna mwanaume mchezeaji. Ukijiweka kuchezewa utachezewa haswa, ila ukiwa serious hata mwanaume mwenyewe anajipanga kuku approach haji kizembe.

Just strive to make your tommorrow better, kuwa serious na maisha yako uone kama hauta attract mwanaume kukujoin kwenye safari ya maisha yako.

Tatizo wanawake wa sikuhizi mpo kustareheshwa tu mnataka slope ya kila kitu, uhudumiwe wewe huna la ziada zaidi ya kukata viuno kitandani. Tatizo lazma liwepo
 
Ni sahihi ila kwa mwanamke makini ha,akuna mwanaume mchezeaji. Ukijiweka kuchezewa utachezewa haswa, ila ukiwa serious hata mwanaume mwenyewe anajipanga kuku approach haji kizembe
Tatizo lako Extrovert ni moja hukubali kushindwa yaani hapa tunaweza kubishana mwaka,Nikukumbushe kuolewa au kuoa ni bahati hata wanaume wapo wanakesha kutafuta mke.
 
Ni sahihi ila kwa mwanamke makini ha,akuna mwanaume mchezeaji. Ukijiweka kuchezewa utachezewa haswa, ila ukiwa serious hata mwanaume mwenyewe anajipanga kuku approach haji kizembe
Tatizo lako Extrovert ni moja hukubali kushindwa yaani hapa tunaweza kubishana mwaka,Nikukumbushe kuolewa au kuoa ni bahati hata wanaume wapo wanakesha kutafuta mke.
 
Tatizo lako Extrovert ni moja hukubali kushindwa yaani hapa tunaweza kubishana mwaka,Nikukumbushe kuolewa au kuoa ni bahati hata wanaume wapo wanakesha kutafuta mke.
Okay tukomeshee hapa kwa leo!
 
Hapo zamani mama zetu walikubali kuanza maisha na wazee wetu, ila kwa sasa kila mwanamke anataka kuolewa na mtu ambaye tayari anajiweza kiuchumi hawataki kupitia machungu ya mafanikio.

Sasa sio jambo rahisi kwa kila kijana aliye katika umri wa ndoa kuwa anajiweza kiuchumi.

Kina dada wakibadili mind set zao , watakuwa msaada kwa vijana wengi ambao wamekata tamaa ya kuoa kutokana na mahitaji makubwa sana ya kina dada zetu.
 
😂😂😂😂😂 huyo ameiva kiimani, ila mwambie tatizo hana tako, ajitahidi kujichanganya na watu u serious ukizidi ni tatizo
Tatizo hajichanganyi, kila kitu anaona ni dhambi. Over 45 yrs utapata wapi mume? Labda kiben10, aliyeacha mke au aliyefiwa na mume
 
Hapo zamani mama zetu walikubali kuanza maisha na wazee wetu, ila kwa sasa kila mwanamke anataka kuolewa na mtu ambaye tayari anajiweza kiuchumi hawataki kupitia machungu ya mafanikio.

Sasa sio jambo rahisi kwa kila kijana aliye katika umri wa ndoa kuwa anajiweza kiuchumi.

Kina dada wakibadili mind set zao , watakuwa msaada kwa vijana wengi ambao wamekata tamaa ya kuoa kutokana na mahitaji makubwa sana ya kina dada zetu.
Hahahah sasa kuoa ni gharama ya mamilioni aisee, na hapo ni excluding dowry! Soon mtakuja ku realize kumbe kinachokwamisha zoezi ni expenses za ukumbi na mbwembwe zisizo na lazima ili mashosti wakome.

Budget: MC Gharab, Cardinal Rugambwa hall, Lavie makeup, range rover 3, Wedding gown expensive san, suit za wapambe kali, catering ya gharama.....n.k Total...25M!

Af bado wanalalamika hakuna waoaji eti😂😂😂!
Wadada ajira hakuna sikuhizi na maisha ni safari, anzeni taratibu na wenza wenu mtafika tu. Wanaoweza haya ni vijana waliotokea kwenye family zenye mawe tu ambao ni wachache sana nchini kulinganisha na ratio ya wanawake.
 
Hapo zamani mama zetu walikubali kuanza maisha na wazee wetu, ila kwa sasa kila mwanamke anataka kuolewa na mtu ambaye tayari anajiweza kiuchumi hawataki kupitia machungu ya mafanikio.

Sasa sio jambo rahisi kwa kila kijana aliye katika umri wa ndoa kuwa anajiweza kiuchumi.

Kina dada wakibadili mind set zao , watakuwa msaada kwa vijana wengi ambao wamekata tamaa ya kuoa kutokana na mahitaji makubwa sana ya kina dada zetu.
watakwambia hao ni mama zetu, usilete story za zamani.
 
Huyo manz ndio unakaribisha geto anafikia kwenye stuli ata kitandani hataki kukaa😂
Huyu hata ghetto haji nakwambia, Tena ukimwambia aje atakwambia..shindwa katika jina la yesu na urafiki unakufa hapo hapo.
 
Back
Top Bottom